Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Jpm enzi yake, huwezi kuwa na ajenda zako dhidi yake halafu akuchekee, NeverIla kweli, kipindi kile cha Jiwe ilikuwa hakuna wa kumkemea..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jpm enzi yake, huwezi kuwa na ajenda zako dhidi yake halafu akuchekee, NeverIla kweli, kipindi kile cha Jiwe ilikuwa hakuna wa kumkemea..
Wajanja wajanja snButiku nA warioba hawajahi kukubali moyoni kuwa nje ya ruling system,, ndo maana tangu awamu ya nne wao wako against serikali,, waliopoa kidogo enzi za JPM maana yule hakuwa na cha msalie mtume,, WANGEPOTEA😂
Sahivi hupo wapi?Jpm enzi yake, huwezi kuwa na ajenda zako dhidi yake halafu akuchekee, Never
ILA MAANA Viongozi Wawasikilize Watu wanaowaingoza Wasijifanye WAO ndio KILA KITU
Maana yake wanaongoza watu wenye akili na utashi, ambao wanajua kutofautisha zuri na baya, la kweli na la uongo, sifa ambayo haipo kwa hao kuku au mbuzi, kwahiyo wachange karata zao vizuri!🙏
Kauli yenye akili kubwa sana hio, mandezi na mende hawawezi kuelewa na hawana uwezo wa kuijibu
Ni ujinga kuomba huruma ya viongoziAkizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki ya kila mtu.
“Kwangu mimi viongozi anatakiwa kutamba kuwa anaongoza watu na siyo Mbuzi, Ng’ombe au kuku,” anasema Butiku na kuongeza kuwa kiongozi ambaye natambui hilo basi huyo si kiongozi.
Amesema “Lazima wakumbuke wanaongoza watu wanaopenda utu, unaweza kulewa kidogo madaraka ukasahau kama unaongoza watu, lakini pia hata wananchi nao wanaweza kuwa na tabia mbaya kama wanamchagua kiongozi na kisha hawamsikilizi.
Chanzo: ITV
Alienda mbali zaidi mpk kubaka haki ya kuchagua na kuchaguliwa akasema "ccm itatumia dola kusalia madarakani". Mpuuzi sana huyu Bashiru.Definitely alichosema Bashiru ni ukweli, kweli mtupu, LAKINI yeye katika historia ya Tanzania, ndiye amekuwa mtu katili , muuaji, mfungaji watu, mbambikia makosa/kesi watu akitimiza maagizo ya Magufuli. Alimuona magufuli kama Mungu na alimpamba kama wa sasa wanavyompmba Samia anayewawezesha kupata mlo wao.
Hiv lile jengo Lao wameshakamilisha?Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki ya kila mtu.
“Kwangu mimi viongozi anatakiwa kutamba kuwa anaongoza watu na siyo Mbuzi, Ng’ombe au kuku,” anasema Butiku na kuongeza kuwa kiongozi ambaye natambui hilo basi huyo si kiongozi.
Amesema “Lazima wakumbuke wanaongoza watu wanaopenda utu, unaweza kulewa kidogo madaraka ukasahau kama unaongoza watu, lakini pia hata wananchi nao wanaweza kuwa na tabia mbaya kama wanamchagua kiongozi na kisha hawamsikilizi.
Chanzo: ITV