Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

Mungu amlinde Rais Samia. Wabaya wake hawalali kuhakikisha wanamharibia ili aonekane kiongozi dhaifu. Ukweli wateule wake kwa sehemu fulani wamemuangusha ingawa inahitajika saikolojia kukabiliana na ukweli wa mambo ulipo. Mfano tu akimfukuza kazi Nape, Makamba na Mwigulu na Riziwani na Waziri wa Maji basi mambo yanaweza kugeuka fasta na watu wakaanza kumuamini.
Unachokisema ni kweli. Lakini huyu maza hawezi wafukuza hawa washirika wa msoga
 
Sijaelewa, Butiku anamuunga mkono Bashiru, pia Mzee Warioba anamuunga mkono Bashiru, ndio kusema Bashiru ana hao wazee na genge lake wako nae..

Ila wanasiasa sio watu kabisa, juzi kati hapa wakati wa Jiwe, huyo Bashiru alikuwa ni Mungu mtu yaani, alikuwa anajua watu wanauliwa, wanapotea, wanafilisiwa mali zao, wanateswa vibaya na kikosi kazi maalum, hakuna uhuru wa mawazo au kuongea ila Bashiru alikuwa kimyaaaa, aliona mambo sawa kabisa, nchi ilifikia sehemu ya hatari sana, kupotezwa ilikuwa dakika tu, ila Bashiru alikuwa haoni, sbb ya upigaji, anakula asali na kulalia asali..

Bashiru leo katoka kwenye inner circle ya asali, kaanza kupiga kelele bila aibu kumkashifu Mama Samia, yaani mm ningekuwa ndio Mh. Rais Samia, namfuta ubunge wa kuteuliwa haraka na arudi chuoni akafundishe ashike adabu..

Bashiru sio mtu, hafadhiliki, mnafiki sana.
 
Sijaelewa, Butiku anamuunga mkono Bashiru, pia Mzee Warioba anamuunga mkono Bashiru, ndio kusema Bashiru ana hao wazee na genge lake wako nae..

Ila wanasiasa sio watu kabisa, juzi kati hapa wakati wa Jiwe, huyo Bashiru alikuwa ni Mungu mtu yaani, alikuwa anajua watu wanauliwa, wanapotea, wanafilisiwa mali zao, wanateswa vibaya na kikosi kazi maalum, hakuna uhuru wa mawazo au kuongea ila Bashiru alikuwa kimyaaaa, aliona mambo sawa kabisa, nchi ilifikia sehemu ya hatari sana, kupotezwa ilikuwa dakika tu, ila Bashiru alikuwa haoni, sbb ya upigaji, anakula asali na kulalia asali..

Bashiru leo katoka kwenye inner circle ya asali, kaanza kupiga kelele bila aibu kumkashifu Mama Samia, yaani mm ningekuwa ndio Mh. Rais Samia, namfuta ubunge wa kuteuliwa haraka na arudi chuoni akafundishe ashike adabu..

Bashiru sio mtu, hafadhiliki, mnafiki sana.
Kwan top leader wa sasa hawakuyaona hayo unayoyasema na kama waliyaona kwann walikaa kimya pia tena walikuwa part of dola sembuse Bashiru alikuwa katibu wa chama

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Sijaelewa, Butiku anamuunga mkono Bashiru, pia Mzee Warioba anamuunga mkono Bashiru, ndio kusema Bashiru ana hao wazee na genge lake wako nae..

Ila wanasiasa sio watu kabisa, juzi kati hapa wakati wa Jiwe, huyo Bashiru alikuwa ni Mungu mtu yaani, alikuwa anajua watu wanauliwa, wanapotea, wanafilisiwa mali zao, wanateswa vibaya na kikosi kazi maalum, hakuna uhuru wa mawazo au kuongea ila Bashiru alikuwa kimyaaaa, aliona mambo sawa kabisa, nchi ilifikia sehemu ya hatari sana, kupotezwa ilikuwa dakika tu, ila Bashiru alikuwa haoni, sbb ya upigaji, anakula asali na kulalia asali..

Bashiru leo katoka kwenye inner circle ya asali, kaanza kupiga kelele bila aibu kumkashifu Mama Samia, yaani mm ningekuwa ndio Mh. Rais Samia, namfuta ubunge wa kuteuliwa haraka na arudi chuoni akafundishe ashike adabu..

Bashiru sio mtu, hafadhiliki, mnafiki sana.
Kama alikuwa vile ina maana akibadilika na kuwa mtu mzuri ni kosa. !! Inasemwa hata shetani akizeeka anakuwa Malaika !!
 
Alichoongea Bashiru ni kitu sahihi na ni cha wazi kabisa kimantiki. Ni common sense kwa binadamu wenye akili. Hakihitaji mjadala; sio “hoja” ya kujadiliwa. Ni kama kumdai mtu akupe hoja za umuhimu wa vitamin C mwilini.

Sasa tunapomsikiliza binadamu akitoa common sense au hata ujinga kuna mengine muhimu ya kuangalia kuhusu huyo mtu. Nayo ni “credibility” (kuaminika) na “integrity” (uadilifu) wake. Bashiru mwanaharakati alisaidia sana kuonyesha ubovu wa siasa na mifumo yetu ya uongozi nchini na umuhimu wa katiba mpya.

Kwenye utawala wa awamu ya tano akashiriki kuikana hoja ya katiba mpya na kujiunga na waimba sifa na watukuzaji wa Rais wa wakati huo kwa kila jambo hata lihusishe utawala mbovu na ukiukwaji wa haki za binadamu. He lost his presumed credibility and integrity.

Leo anatuletea habari ambayo wote wenye akili tunaijua miaka nenda miaka rudi kuwa ni common sense kwamba ni “ujinga kutukuza viongozi tuliowachagua”, halafu mnatuambia tujadili “hoja ya Bashiru”? Yeye ndio anatakiwa ajipime amesimamia wapi! Alishapoteza credibility yake. Ni sahihi yeye kuwa somo (subject) la kujadiliwa - kwa kuwa kigeugeu kiasi hicho. Hatuwezi kupoteza muda kujadili common sense eti kuiita hoja!

Akitaka kutiliwa maanani kwa mambo ya maana kwanza atuthibitishie kuwa alipotoka awamu ya 5, kwamba ameuona upungufu wake na kuamua kurejea kwenye ukweli, atuombe radhi na kujiunga na mapambano dhidi ya utawala mbovu kikamilifu. Arejee msimamo wake kuhusu haja ya katiba mpya.
Ndio maana amejitokeza hadharani na kuyasema mapungufu aliyoyaona !! Tena amejitokeza hadharani bado akiwa humo humo kwenye kaya !! We learn through mistakes ! Ndivyo tulivyoumbwa !! Wote walikuwemo ndani ya kaya na mpaka sasa wote bado wapo ndani ya kaya !! Sio vibaya baadhi yao wakaanza kuyaona madhaifu yaliyokuwepo na bado yanaendelea kuwepo kama wanaona hivyo !! Hakuna mkamilifu ndivyo tulivyoumbwa !! Kakurwa integrity yake ipo palepale!!
 
kwa mifano na vielelezo ukatili, uuaji, ubambikiaji na ufungaji watu wa bashiru ally
An accomplice of Magufuli ......a person who helps another commit a crime. As long as alihudumu katika nafasi nyeti katika utawala wa kikatili wa magufuli, then naye anahusika kutenda hayo uliyoorodhesha! (au kwenye utawala wa magufuli hayakutokea?). He should have resigned to protest what was going on
 
An accomplice of Magufuli ......a person who helps another commit a crime. As long as alihudumu katika nafasi nyeti katika utawala wa kikatili wa magufuli, then naye anahusika kutenda hayo uliyoorodhesha! (au kwenye utawala wa magufuli hayakutokea?). He should have resigned to protest what was going on
Wooote waliomo ndani ya kaya ndio wale wale waliokuwemo kipindi cha mwendazake sio Bashiru pekee !!
 
Ni kweli kabisa !! Tunasubiri atoe ufafanuzi kwanini alinyamazia yale majambo !!
Ukiwa mtu wa Mungu, mkweli, muadilifu...unamwambia kuwa rafiki naomba kujiudhuru maana sitaki kuwa sehemu ya haya! (lakini njaa zetu hakuna wa kuacha Ukatibu Kiongozi, kama mbaya mbaya!) 😀 😀 😀 😀 😀
 
Uko sahihi kwa asilimia 100. Bashiru ni mnafiki hata kama ameongea ukweli. Lakini yeye ndio muasisi wa watu kuzuiwa kutoa maoni yao. Chini ya utawala wa kina Bashiru wetu ndio walikuwa wakitekwa, na chaguzi za nchi hii kunajisiwa.
Porojo michademi huwa hambebeki kila kitu kusingizia tu watu
 
Ninani alizuiwa kutoa maoni?weka ushaidi wa video Bashiru akizuia watu wasikosoe utawala wao,akina Bashe na Nape walikuwa wanakosoa mchana kutwa,mpaka mwenyewe Bashiru akaulizwa kuhusu kauli za Bashe na Nape wala hakujibu vibaya, mpaka Bashe alipewa unaibu Waziri wa kilimo,kwa ukosoaji wake, mpaka Magufuli wakati wa kumwapisha akamwambia hayo uliyokuwa unayakosoa nenda kayafanye, Makamba na Nape Kinana, Ngereja Zitto, walikuwa wanatukana,mbona hatukuwahi kusikia wakitekwa? acheni siasa za kishamba, mnadai Samia karudisha democrasia kwenye chama watu wanatoa maoni yao bila wasiwasi, wakati watu wakisema wanashambuliwa.
Wwnyw chuki na bashiru hata akifanyaje wao hawatakakaa waridhike .wanajifanya wakamilifu ukiwaomba wakuonyeshe ukamilifu wao huwezi kuuona hata kidogo
 
Ukiwa mtu wa Mungu, mkweli, muadilifu...unamwambia kuwa rafiki naomba kujiudhuru maana sitaki kuwa sehemu ya haya! (lakini njaa zetu hakuna wa kuacha Ukatibu Kiongozi, kama mbaya mbaya!) 😀 😀 😀 😀 😀
Ni shida Kwakweli
 
Wana mchango gani zaidi ya maigizo?
Butiku nA warioba hawajahi kukubali moyoni kuwa nje ya ruling system,, ndo maana tangu awamu ya nne wao wako against serikali,, waliopoa kidogo enzi za JPM maana yule hakuwa na cha msalie mtume,, WANGEPOTEA😂
 
Back
Top Bottom