Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kama mumeoAngalia wewe ndo unaweza kuwa mnafiki na chawa kumzidi hata huyo mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mumeoAngalia wewe ndo unaweza kuwa mnafiki na chawa kumzidi hata huyo mzee.
kwanini huwa hatoke CCM amejibana humo na hiyo taasisi yake ya kitapeli?Babu yupo vizuri sana
Ninani alizuiwa kutoa maoni?weka ushaidi wa video Bashiru akizuia watu wasikosoe utawala wao,akina Bashe na Nape walikuwa wanakosoa mchana kutwa,mpaka mwenyewe Bashiru akaulizwa kuhusu kauli za Bashe na Nape wala hakujibu vibaya, mpaka Bashe alipewa unaibu Waziri wa kilimo,kwa ukosoaji wake, mpaka Magufuli wakati wa kumwapisha akamwambia hayo uliyokuwa unayakosoa nenda kayafanye, Makamba na Nape Kinana, Ngereja Zitto, walikuwa wanatukana,mbona hatukuwahi kusikia wakitekwa? acheni siasa za kishamba, mnadai Samia karudisha democrasia kwenye chama watu wanatoa maoni yao bila wasiwasi, wakati watu wakisema wanashambuliwa.
Niambie aliyekosoa akavuliwa ubunge au kuitwa kamati kuu, Magufuli alikuwa anakataa matusi ndio maana Wabunge walikuwa wakifika bungeni baada ya kujenga hoja ili kusaidia selikali wanaanza kuporomosha matusi kwasababu ya kinga ya bunge, ndio Maana Magufuli alivyoona bunge limekuwa kichaka cha kuporomosha matusi, akamwambia Ndugai hawe anawatoa nje iliwakitukana wakiwa nje wakumbane na mkono wa sheria,nakumbia tena Bashe alipata uwaziri kwasababu ya ukosoaji wake.Huyo Nape si alitolewa hadi bastola hadharani? Kinana, Nape, Makamba si ndio hao walienda kuomba msamaha kama wanawake? Zito si alitishiwa hadi kifo, au unadhani ukipaniki ndio ukweli tutasahau? Wakati Magufuli anamuagiza Ndugai awatoe wapinzani bungeni kisha atadeal nao huku ulikuwa hujaja mjini nini?
Niambie aliyekosoa akavuliwa ubunge au kuitwa kamati kuu, Magufuli alikuwa anakataa matusi ndio maana Wabunge walikuwa wakifika bungeni baada ya kujenga hoja ili kusaidia selikali wanaanza kuporomosha matusi kwasababu ya kinga ya bunge, ndio Maana Magufuli alivyoona bunge limekuwa kichaka cha kuporomosha matusi, akamwambia Ndugai hawe anawatoa nje iliwakitukana wakiwa nje wakumbane na mkono wa sheria,nakumbia tena Bashe alipata uwaziri kwasababu ya ukosoaji wake.
Sasa kama hautaki kulipa 200 za uduma ya choo ili watu walipwe wa kufanya usafi,sinibora ubaki na mavi yako, Wewe stendi ya Mbezi ulitaka abiria wote wale wanisanidie bure?Magufuli alikuwa anakataa matusi kisha akawaambia watu wabaki na mavi yao nyumbani! Bunge linaendeshwa na kanuni na sio mapenzi ya rais.
Sasa mtu kama hautaki
Sasa kama hautaki kulipa 200 za uduma ya choo ili watu walipwe wa kufanya usafi,sinibora ubaki na mavi yako, Wewe stendi ya Mbezi ulitaka abiria wote wale wanisanidie bure?
Hustahili kutumia jina hili, kama utushindwa kutambua mchango wa Hawa Wazee!Huyu babu naye ni mnafiki tu hana lolote
Kwan wewe ni mungu? Acha ujuhaAlijichagulia maisha yeye mwenyewe na alipopata madaraka akawa na mihemko ya kumfunika Magufuli! Upumbavu huu utamtafuna mpaka 202 5 na kama anaakili bora asigombee ata pata tabu haijawahi tokea!
Usidhani kuwa Bashiru yuko peke yake na bado mapema sana huko mbeleni mtawaona wengi tuu Lake zone mtawajuwa hamjuw subri hilo galambe lijaloNamsubiria Hangaya apige ubeti mmoja wa taarab wa dakika 30 kama alivyo "msonkora' Job Yusto!
Samahani mkuu, kwa nia ya kufunzana na kuweka rekodi sawa naomba tafadhali sana unielezee kwa mifano na vielelezo ukatili, uuaji, ubambikiaji na ufungaji watu wa bashiru allyYou might be very right. It seems bashiru ana kundi kubwa nyuma yake maana hawa wazee akina Butiku, Warioba unaona kabisa wanamtetea. Na akina Butiku na warioba, wana kundi lao...ambalo it seems liko against Samia
Definitely alichosema Bashiru ni ukweli, kweli mtupu, LAKINI yeye katika historia ya Tanzania, ndiye amekuwa mtu katili , muuaji, mfungaji watu, mbambikia makosa/kesi watu akitimiza maagizo ya Magufuli. Alimuona magufuli kama Mungu na alimpamba kama wa sasa wanavyompmba Samia anayewawezesha kupata mlo wao.
Likewise, Bashiru alimuabudu magufuli kwa vile alikuwa anapata mkate wake toka kwa Magufuli. Kwahiyo ni mnafiki, siyo kuwa anawaonea huruma wakulima, bali ni kwa vile amekosa mlo aliokuwa anaupata toka kwa Magufduli.
Haimzuii na ni haki yake kusema kile anachojisikia kusema isipokuwa ajavunja sheria.Hao wote awana hoja kipindi wenzao walipokuwa wanaongea waliwaona wanawashwa washwa sasa ni zamu yao tutaona nani anajikuna
Unatia huruma wewe sijui mhaya gani unakuwa na uelewa Mdogo. Mimi huwa sipelekeshwi na mihemuko ya watu. Mungu kanipa akili ya kungamua Mambo kabla ya kutoa uamuzi au kumlaumu mtu. Mimi Samia anapofanya vizuri na sema anapo fanya vibaya nasema . Lakini Kuna watu wao raisi Hana alifanyalo jema wakalikubali wao kutwa kucha nikulaumu tuuu.Ibanga unatia huruma sana na bado hadi 2025 tutawapiga kama ngoma. Na wote mmewaua mkawabakisha waswahili wenzenu, hii damu itamfata JK hadi kaburini
Awamu iliyopita vilikuwa vime mute.Kwangu mimi kiongozi anatakiwa kutamba kuwa anaongoza watu na siyo Mbuzi, Ng’ombe au kuku