Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

You might be very right. It seems bashiru ana kundi kubwa nyuma yake maana hawa wazee akina Butiku, Warioba unaona kabisa wanamtetea. Na akina Butiku na warioba, wana kundi lao....

Uko sahihi kwa asilimia 100. Bashiru ni mnafiki hata kama ameongea ukweli. Lakini yeye ndio muasisi wa watu kuzuiwa kutoa maoni yao. Chini ya utawala wa kina Bashiru wetu ndio walikuwa wakitekwa, na chaguzi za nchi hii kunajisiwa.
 
Tatizo sio Mama SSH bali ni wapambe waliomzunguka, wanamjengea kupenda kusifiwa kuliko hata Mungu kama walivyofanya kwa "mungu magufuli" Tabia hii ni mbaya sana sana na inapoteza thamani ya nchi yetu ambayo siku hizi imekuwa ya hovyo kabisa!
 
Uko sahihi kwa asilimia 100. Bashiru ni mnafiki hata kama ameongea ukweli. Lakini yeye ndio muasisi wa watu kuzuiwa kutoa maoni yao. Chini ya utawala wa kina Bashiru wetu ndio walikuwa wakitekwa, na chaguzi za nchi hii kunajisiwa.
UKWELI usemwe tu,

Msema UKWELI huo yawezakuwa ameamua kubadilika na kuingia njia sahihi.

Apokelewe Kwa UKWELI wake, alilewa Madaraka enzi zile, Pombe imekata nw.😃😃
 
Pointi zako zote 1&2 ni hisia tupu, ni kama vile umeingia ndani ya moyo/akili ya Dr. Bashiru ukajua anachowaza, hauko sahihi.
Evidence on record confirms that! Tabia ya mtu utaijua kutokana na matendo yake. matendo yake wakati wa Magufuli rule, irresistibly point to the hypocrisy of the highest degree!

nadhani hii clip umeisikiliza, argument zetu zinabase hapo! Huo ndio ushahidi wa nilichokiandika. Hata kama sioni ndani ya moyo wake, basi let us apply the doctrine of Circumstantial evidence !.....irresistibly point to the hypocrisy of bashiru in what he was addressing MVIWATA.

sikiliza clip hii
 
Dr. Bashiru ameongea pointi ya msingi sana, na hata kama aliwajaza ujinga wakati ule, kama wakati huu anawaambia ujinga aliowajaza haufai muuache, lakini kuendelea kukomalia ule ujinga naona ndio ujinga zaidi.
Basi na atuombe radhi ndiyo tutamuamini, lakini kama si hivyo bado atabakia mnafiki.
 
Ila kauli ya Bashiru ambae ni muasisi wa UCHAWA Tanzania haikustahili kutolewa na mtu ambae hana maadili wala nidhamu! Bashiru alitesa watu, alidhulumu watu na kuharibu demokrasia nchini.

Inshort; ni mtu wa hovyo kabisa na alitakiwa kuwa magereza kwa sasa!
 
Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki ya kila mtu...
Huyu ameifanya taasisi ya Mwalimu Nyerere kama mfuko wake wa shati, Hela ikiwekwa anapiga, mpaka wafadhili wameaicha.

Yaani Bora MWIJAKU and BABA LEVO FOUNDATION Ina nguvu kuliko hii ya Mwalimu nyerere
 
Lakini yeye ndio muasisi wa watu kuzuiwa kutoa maoni yao.
asante sana kwa point kubwa kama hii. sasa akina warioba wanasema asizuiwe/asishambuliwe yeye bali hoja yake. How?

Yeye aliasisi watu kuzibwa midomo wakati wa magufuli, leo mnasema asikumbushwe kuwa alikuwa muasisis mkubwa wa kuziba watu midomo, NEVER!
 
Unapo ni quote, uwe una common sense ya kutosha. Nimemsifia nani kati ya hao wapuuzi wako wote?

Huyo Bashiru wako ana ukweli gani? Mbona alipoteuliwa kuwa Katibu mkuu wa ccm hakuwahi kuisimamia hiyo haki anayoipigania leo?

Angekuwa bado ni Katibu mkuu wa chama, au Katibu Mkuu Kiongozi; angeongea hayo aliyo yaongea? Au ni kwa sababu amejiona hana tena nafasi kwenye chama, ndiyo ajifanye kusimamia haki!

Huyo Bashiru wako ni mnafiki tu kama walivyo wanafiki wengine.
Ataongeaje hayo wakati yuko kwenye utekelezaji nawe tumia akili kidogo
 
Kuna mijitu mipunbafu eti Mama Samia Hana uwezo wa kuongoza. Sasa nchi miaka 60 nimaskini hao waliokuwa wanatawala walikuwa na uwezo gan? Acheni ujinga muache mama afanyekazi wenye akili tunaona Mambo makubwa anayofanya. Msitake chuki zenu binafisi kwa mama mtuhusishe na sisi. Na mama tunae Mungu akijalia mpaka2030
Mjinga zaidi au kupita kiasi ni wewe huyo mama alichaguliwa na nanii si ndondokera tu ndo iliyo muweka hapo unapo sema 2030 ubongo wako ni finyu.
 
Watu wanaona kinachofanyika na wana haki ya kuhoji.

Hii nchi sio mali ya mtu binafsi au kikundi flani ni ya watanzania wote.

Kitendo cha kikundi flani kutaka kuhodhi Taifa zima na kuwafanya wananchi kama wanyama hakikubaliki , tunakikataa. Tutakipinga.
Leo ndio unalijua hilo?🤣🤣
 
Back
Top Bottom