Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

Mfano tu akimfukuza kazi Nape, Makamba na Mwigulu na Riziwani na Waziri wa Maji basi mambo yanaweza kugeuka fasta na watu wakaanza kumuamini.
Hapo ndipo kwenye uozo yule alieondolewa wa Umeme anaitwa Medard Kalemani km sijakosea alikuja strategy nzuri sana za umeme, umeme umefika mpaka ambapo sikurarajia km ungefika na pamoja na matengenezo ya kuufukisha uko umeme ulikua haukatwi hata robo kaingia huyu Marepe yeye kaja na strategy ya kugawa umeme kwa mafungu umeme wa kupimiwa kwa siku utapewa masaa kadhaa, kwanini watu wasiongee?
 
Dr.Bashiru ni mbunge nashangaa unaandika anakosa mlo, hakuna kitu kama hicho.

Dr. Bashiru ameongea pointi ya msingi sana, na hata kama aliwajaza ujinga wakati ule, kama wakati huu anawaambia ujinga aliowajaza haufai muuache kuendelea kukomalia ule ujinga naona ni ujinga zaidi.
1. Mlo wake na madaraka havilingani na utukufu aliokuwa nao wakati wa Magufuli, hivyo he can not be happy at all! kwa mtu ambaye amemnyanganya hayo madaraka makubwa na pesa nyingi alizokuwa akizipata.

2. Bashiru ni mnafiki kama nilivyoeleza kwenye post uliyojibu. Hawezi kuaminika kuwa kweli anawapenda wakulima, awatetea, au amejitafakari na kuona watu waache ujinga (kama ilivyouita) wa kusifi, NEVER! anatafuta mahali pa kumpiga/kumdistabilize Samia aliyemnyanganya madaraka aliyopewa na Magufuli!

Once a traitor, always a traitor. It only takes true repentance and a turn -around to regain public Trust!
 
Bashiru alikuwa anakemea watu walikuwa wanataka Magufuli aongezewe muda
Never, huyu haaminiki, ilikuwa na drama hizo zionekane kuna watu wanapinga kuongezewa muda, lakini he was pro magufuli kufa kupona na Magufuli angelikuwa life president! Msidanganywe na drama za Bashiru eti alikuwa nawapinga waliokuwa wanataka aongezewe muda!

Once a traitor, always a traitor. It only takes true repentance and a turn -around to regain public Trust!..this statement befits Bashiru very well!
 
Namsubiria Hangaya apige ubeti mmoja wa taarab wa dakika 30 kama alivyo "msonkora' Job Yusto!
 
Namsubiria Hangaya apige ubeti mmoja wa taarab wa dakika 30 kama alivyo "msonkora' Job Yusto!
Namsubiria Hangaya apige ubeti mmoja wa taarab wa dakika 30 kama alivyo "msonkora' Job Yusto!
Huyu huyu aliysema anawatoa watu kwenye system wanomkwamisha na wanaotaka urais wake akaenda kumtoa Mwambe,Lukuvi na Kabudi😂😂😂Ngoja tuone sisi wengine ni watazamaji tumekaa pale😂😂😂
 
Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki ya kila mtu...
Hawa wazee wastaafu ni mburu kenge tu with all due respect,
Warioba, Butiku, Msuya, nk Hawa wananufaika sana na huu mfumo wa ccm,watoto wao wapo kwenye nyazifa tamu kutokana na wazazi wao kuwa vingunge ndani ya ccm.

Hakuna hata Mzee mmoja anayeweza kurudisha kadi ya ccm!!hata hiiki chama kiibe,kiiue,Hawa wazee watakaa kimya tu na wao ni matokeo ya uchafu wote,ni sehemu ya wezi wa mali ya umma kupitia ccm,ccm kwao ni chanzo Cha deals tamu tamu!

They have no moral authority kusema lolote,hakuna hata mmoja aliyeenda kumpa pole Tundu lisu,wakati alipopigwa risasi, walikuwa wanaogopa mamlaka, Maghu, asiwashughurikie!

They. Should shut the https://jamii.app/JFUserGuide up,
 
Raisi Samia ruhusu mikutano ya siasa watu wapate pa kupumulia. Usipofanya hivyo, yale yale yaliyompata bwana yule hayako mbali pua.

Ni hatari sana kutengeneza upinzani wa ndani ya chama kuliko nje ya chama. Kwa chama tawala, vyama vya upinzani husaidia kuleta uzani na uwiano wa kiutawala.

Kuendelea kuvibinya ni kuendelea kujibinya mwenyewe. Magu aliko anajua hilo.
 
Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki ya kila mtu...
 
You might be very right. It seems bashiru ana kundi kubwa nyuma yake maana hawa wazee akina Butiku, Warioba unaona kabisa wanamtetea. Na akina Butiku na warioba, wana kundi lao...ambalo it seems liko against Samia

Definitely alichosema Bashiru ni ukweli, kweli mtupu, LAKINI yeye katika historia ya Tanzania, ndiye amekuwa mtu katili , muuaji, mfungaji watu, mbambikia makosa/kesi watu akitimiza maagizo ya Magufuli. Alimuona magufuli kama Mungu na alimpamba kama wa sasa wanavyompmba Sami anayewawezesha kupata mlo wao.

Likewise, Bashiru alimuabudu magufuli kwa vile alikuwa anapata mkate wake toka kwa Magufuli. Kwahiyo ni mnafiki, siyo kuwa anawaonea huruma wakulima, bali ni kwa vile amekosa mlo aliokuwa anaupata toka kwa Magufduli.
Naomba Tuwekee clip Bashiru akimpamba Magufuli.
Naomba pia utuelezee kidogo ni kwa vip KATIBU MKUU WA CCM au KMK anahusika na mauaji. Asante
 
Alijichagulia maisha yeye mwenyewe na alipopata madaraka akawa na mihemko ya kumfunika Magufuli! Upumbavu huu utamtafuna mpaka 202 5 na kama anaakili bora asigombee ata pata tabu haijawahi tokea!
Sidhani kama anaweza fanya kosa la kugombea, itawalazimu kuiba kura nyingi sana kiasi ambacho hawajawahi kuiba huko nyuma.
 
Back
Top Bottom