Butiku: Viongozi watambue wanaongoza watu siyo kuku au mbuzi

Butiku nA warioba hawajahi kukubali moyoni kuwa nje ya ruling system,, ndo maana tangu awamu ya nne wao wako against serikali,, waliopoa kidogo enzi za JPM maana yule hakuwa na cha msalie mtume,, WANGEPOTEA😂
Wajanja wajanja sn
 
alafu nilichoshangaa kumbe madaraka matamu,msimchukulie poa shangazi angu
 
Mbuzi na kuku wanafugwa,hawa hawana Uhuru juu ya bwana wao.

Sisi ni raia ambao tunao wajibu Kwa nchi yetu, kwenye kila nyanja, ila unashangaa hapa kwetu kuna kakikundi fulani ka watu wao ndio wanatuamulia nani awe raisi mwaka 2025(hii sanduku la kura ni geresha na kiini macho) yote ni kwaajili ya matumbo yao na kizazi chao.

Katika mijadala mzee mmoja alisema anatamani kama Mungu angekuwa anasikia maombi direct,angekiangamiza kizazi chote cha mafisadi na wahujumu nchi ili tupate kizazi fresh kwa mwanzo mpya.
Kupangiwa maisha inaumiza sanaaa chief.
 
Kwani mzee Butiku hajui kwamba hao viongozi wanatambua kuwa wanawaongoza watu ambao kwa sababu zisizojulikana watu hao wamejishusha utu wao na kuwa karibu na wanyama?

Watu wamewakabidhi utu wao kwa viongozi wafanye wanachotaka.

Ndiyo maana hao viongozi hawastuki.
 
Imebainika watu wa Tanzania,wanaongozwa kama mbuzi,yaani ni kama walking corpse.
 
Huyu na mwenzake warioba, toka watolewe kwenye system na mzee Ruksa, hawajawahi kusamehe😄🙆‍♀️
 
Ni ujinga kuomba huruma ya viongozi
Na jambo hilo ndiyo linafanya wazidi kujiona miungu watu
Huyo Butuku bora tu angenyamaza
 
Alienda mbali zaidi mpk kubaka haki ya kuchagua na kuchaguliwa akasema "ccm itatumia dola kusalia madarakani". Mpuuzi sana huyu Bashiru.
 
Hiv lile jengo Lao wameshakamilisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…