Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Amekua wa nne sasa, na ameniingia moyoni kweli kweli....Kumbe viol ni miongoni mwa wale watatu unaowapenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekua wa nne sasa, na ameniingia moyoni kweli kweli....Kumbe viol ni miongoni mwa wale watatu unaowapenda?
Basi uje nikuongoze sara ya toba ili ukamilishe vigezoAmekua wa nne sasa, na ameniingia moyoni kweli kweli....
amenSasa hivi mi shemasi single
Mimi ndiye Yesu mwenyewe.We Yesu humpendi?
He hee pm ngapi ushapata mpaka sasa?Kwa wale girls waliokuwa kwenye maombi kuhusu hii thread yangu,najua kuna roho mbili,moja ya kunipm ingine inasema usipm,hiyo inayosema usipim usikubali,...Mungu ana njia nyingi hebu pm me we can figure out,Mungu hana upendeleo kama morinho,inbox me
[emoji12] [emoji3] [emoji3]kanisani hakuna wanawake??au kanisani lenu ni la wanaume tu.
NtachapwaBado sijapata nipm basi[emoji12]
-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.
Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.
Hajasema yeye kaokoka ila anataka aliye okoka.Uwiiii!! Cku hizi na ww umeokoka?
Nenda katafute-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.
Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.