Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

Kwani kanisan apa? Apa jf bhana, nenda kanisan uko katoe tangazo
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] napitaa
 
Kwa wale girls waliokuwa kwenye maombi kuhusu hii thread yangu,najua kuna roho mbili,moja ya kunipm ingine inasema usipm,hiyo inayosema usipim usikubali,...Mungu ana njia nyingi hebu pm me we can figure out,Mungu hana upendeleo kama morinho,inbox me
He hee pm ngapi ushapata mpaka sasa?
 

Mkuu tembea utawaona...kuna mademu/machangu wa bongo muvi wengi tu ambao wamechoka kujiuza na sasa wamekimbilia makanisani kutafuta wanaume kama wewe.
 
Duh!!!mbn fully mashart?mke mwema na mume mwema hutoka kwa Mungu,Mungu awasaidie ambao bado hamjaoa au kuolewa,sema amen upone
 
Watoto WA askofu ndiyo wazuriiiii,acha ubaguzi bana,
 
Nenda katafute
makanisani utawapata, humu utapata vimeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…