Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia

Hi
Hivi ndugai amesomea nini? bunge litakuwa limebadilishiwa mtu halafu hawana taarifa au hawajagundua
 
Naunga mkono kauli zote zilizotolewa zenye kuonyesha Ndungai ni mwepesi , amekosa umakini hana tena thamani mbele ya jamii,

amelewa madaraka anabwabwaja pumba mbele ya jamii iliyoelimika na inajua hila na ngiriba za chama chake na serikali yake
 
Ndugai mental retardation curve imeanza kubend down kitambo sana [emoji1787][emoji1787]

Yaani jamaa Ni ze comedy
 
Ivi mbona Halima hainekani kwenye twitter? Au yupo likizo??
 
CCM wanajua kujibu hoja kwa bunduki, mabomu na vitu vyenye ncha kali. Wakikosa hivyo ni maiti wa kuzikwa tu.
 
CCM walimwita Bibi Kidude, tasa na msagaji kwa maana ya shoga. Hapo una twambiaje mkuu?

And two wrongs makes it right???

Kama CCM walikuwa wanamtukana
Sasa zamu ya CHADEMA kumtukana?
Really??
 
Mbona unaongea kama malaika? Jamani hadi raha kwa huu uandishi wako....hongera pia kwa wazazi/walezi wako kwa kukulea vyema. Hakika unastahili kuitwa majina yote mazuri.
Ahsante sana mkuu, mwenye masikio na asikie!
 
Tulipofika kama nchi inasikitisha lakinj acha tupelekwe kama gari bovu mpaka tupate akili upya.

Its sickening kuangalia uvunjaji wa wazi wa katiba.
 
Kuwaambia waandishi wa habari wasiende kuwahoji wastasfu akina Msekwa kwamba hawajui mambo yalivyobadilika imenitia shaka kidogo!
Huyu jamaa anadharirisha sana wagogo huko. Yaan anafanya watu wa huko waonekana hawana akili ni njaa tu.
 
Kuwaambia waandishi wa habari wasiende kuwahoji wastasfu akina Msekwa kwamba hawajui mambo yalivyobadilika imenitia shaka kidogo!
Ila kwenye mialiko ya matamasha yao wastaafu wamo,naona jamaa anataka kuwafunga mdomo akina Warioba na Msekwa.

Ile kamati ya wazee wa ccm sijui inasemaje..

CC; Mzee Mgaya.
 
And two wrongs makes it right???

Kama CCM walikuwa wanamtukana
Sasa zamu ya CHADEMA kumtukana?
Really??
Kama Lowasa tu...fisadiii. aaaa mgonjwa..sio fisadi.ni mtu mzuri..

Usipate shida na hizi swing mzee the boss[emoji3][emoji3]
 
Kwani Ndugai hasa kinachomuuma ni nini? Mambo ya CDM yanamhusu nini? CDM inawafutia uanachama wanachama wake yeye anaumia kuliko wale waliofukuzwa uanachama. Hii huruma ya ajabu kwa Ndugai imetoka wapi? Ni ajabu tena ajabu kweli kweli kwa Shetani kumuhurumia binadamu!!!!
 
Ndungai sasa ni dhahiri anachepuka na Bulaya kwa mjibu wa Msiri wa CCM le mutuz , Ndungai kajitoa fahamu anawatetea covid 19 kwa njia haramu za kishetani kisa Demu wake katolewa kafara kwa upumbavu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…