Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

Mingi sio tija kitaifa labda tu Kama ni sehemu ya kupigia lala salama hii
 
Hivi unavijua vigezo vya uwanja wa kimataifa?
Au unafkiri kwa kutumia reverse?
 
Ipo haja ya waafrika tuanze upya mapambano ya kudai upya Uhuru toka kwa Hawa wakoloni weusi wanaotufukarisha,heri ya hata ya wakoloni weupe walituletea maendeleo
 
Baada ya kushindwa kuyafanya hayo nchi nzima kaona heri ayafanye huko
 
Hivi unavijua vigezo vya uwanja wa kimataifa?
Au unafkiri kwa kutumia reverse?
Wewe ndiye msemaji (sauti) ya changu wa madoa? Kwani wewe usiyefikiri kabisa, vinginevyo kufikiri kutakosa maana, Chato ni uwanja wa kimataifa au hapana? Wametua Wang na Nyusi na waliishatua Museveni na Kenyatta hata kama ni kwa kulazimishwa. Anatua sana JPM, aliyekuwa m/kiti wa SADAC(international)!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…