Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #201
AiseeMzee zomboko alisema kula chuma iko sema ajari kazini ridhiki ya mtu iko miguuni mwa kila mtu sasa wewe sema umependa degree yake au huwezi kueshimu kazi anayoifanya ili kuwafanya kusogeza Maisha
Kha! Kwan kamuoa??Huyo ni Bwana yako na bodaboda ni yake na ile u-bibi yako ni yake, shida ni aje?
Hata asipo muoa bado ile u-bibi ya bibi yake ni yake, mpaka pale bibi ataikabidhi kwa bwana mingineKha! Kwan kamuoa??
Hata asipo muoa bado ile u-bibi ya bibi yake ni yake, mpaka pale bibi ataikabidhi kwa bwana mingine
Hakunaga hiyo.Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako
Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya. Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu. Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele Mithali 6:32 Mtu aziniye na mwanamke...www.jamiiforums.com
Mimi nawajua mabodaboda waliojenga na wanaendesha famili tu kwa kazi ya boda. Tena mijini kabisa kama Kibaha.
Kikubwa ni mtu kujitambua na kuishi ndani ya kipato chako. Maana unaweza kuolewa na mwenye mshahara wa million 10 lakini ni mfujaji na bado mkalala njaa ndani hela hamna na mwenye nyumba anabisha hodi anataka chake.
Kipato cha mtu kina matter lakini akili ndio ya msingi zaidi.
Nyooshaaelezo ya Uzi wako tafadhariAisee
Kumbe upo nawe huvumi😂😂Wewe unaendesha nini? Haya msubiri rubani mdogoangu
Kumbe na mwana ulimkamata😂😂😂Bint au mwanamke anatakiwa kudangwanywa tu daima ndio utawapata mm huwa nasema. Nafanya kazi katk kampuni ya minara ya simu kama mhandisi nawadak wengi mno Kuna wengine walijuwa ukweli wnaniacha wengine hata wakijuwa ukweli Bado wanaendelea kuwa na mm Kwanza wengi wnanimbia mm Ni jasiri mno mnk wakt mwingine nawahitaji hotelini Kali Kali kupiga nao vinywaji kumbe Sina ramani
Mithali 6:32Nyooshaaelezo ya Uzi wako tafadhari
Hii poor mindset ndio maana wanaume mnatanguliaga kaburini kwanzaBint au mwanamke anatakiwa kudangwanywa tu daima ndio utawapata mm huwa nasema. Nafanya kazi katk kampuni ya minara ya simu kama mhandisi nawadak wengi mno Kuna wengine walijuwa ukweli wnaniacha wengine hata wakijuwa ukweli Bado wanaendelea kuwa na mm Kwanza wengi wnanimbia mm Ni jasiri mno mnk wakt mwingine nawahitaji hotelini Kali Kali kupiga nao vinywaji kumbe Sina ramani
Kwanini asiwe meneja WA BODABODA zakeWewe Huna hata bodaboda ila unataka mwemye gari sawa endelea kutafuta
Sasa unanuna nini?UZI BATIRI HUU moderators kwann hamfanyi kazi yenu kwa hawa pretenders?
Pole broMascammer yapo mpaka JF, huyu ndie mlokole sasa, na wajinga wanashauri mtu anaetoa visa vya kutungaView attachment 2726854