Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Kusoma kwa wengi lengo lao huwa ni baadae apate ajira hamna mtu atasoma amalize ajiajiri kama ni hvyo hakuwa na haja ya kusoma angeanza mapema akajiajiri ila huyo pia nae anaendesha boda huku akisubir ajira ko ukisema amuache na akipata ajira ndo ampende au akiacha kuendesha boda ndo ampende hapo ni kukubali hali iliyopo tu kama anajiamini na anamuamini mpenzi wake waendelee huku wakijitafuta kvingne maisha yako tight sana mkuuSasa, huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi Sijui watoto mtakua lini?!
Dubai anafikaje,😂😂Amuache tu, aende Dubai akatafute mwekezaji
Penye nia pana njia, aanze kwanza kuslay lazima atafikaDubai anafikaje,😂😂
Kama jini mbonaPenye nia pana njia, aanze kwanza kuslay lazima atafika
View attachment 2727650
Apa kila mtu kipengele kishambana😂😂Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Kampuni yake?bila kuanzia popote pale, ghafla bin vuuu hadi kwenye kumiliki kampuni?labda awe na ndugu wenye pesa.au atoke ukoo wenye DNA ya helaNikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi 🚶🚶
Sijui watoto mtakua lini?!
Ukiondoa degree ambayo hata cheti cha darasa la Saba kinanafuu anabakia na INTELLECT ambayo ni sifuri[Hana creativity,resilience and determination] Hawezi hata kujinunulia taulo ya kike halafu anamdharau bwana yake boda boda? Eliza Hana sifa za kuwa hata mke wa m..... Hakuna hali inayodumu ktk Maisha ya mwanadam.Mwambie eliza kanikera vibaya mnoo
Wabishi kama kawa wanakomaa kutoka kwenye kibanoApa kila mtu kipengele kishambana😂😂
Acha kuhukumu bwana hajasema hawez nunua Taulo ya likeUkiondoa degree ambayo hata cheti cha darasa la Saba kinanafuu anabakia na INTELLECT ambayo ni sifuri[Hana creativity,resilience and determination] Hawezi hata kujinunulia taulo ya kike halafu anamdharau bwana yake boda boda? Eliza Hana sifa za kuwa hata mke wa m..... Hakuna hali inayodumu ktk Maisha ya mwanadam.
Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
Watu wanafungua kampuni Kila siku na wanaajiri watuKampuni yake?bila kuanzia popote pale, ghafla bin vuuu hadi kwenye kumiliki kampuni?labda awe na ndugu wenye pesa.au atoke ukoo wenye DNA ya hela
🙄🙄🙄🙄Hiki kipengele kirudiwe🤣Wabishi kama kawa wanakomaa kutoka kwenye kibano
Dalali wa mapenzi ...
Jana nilikuwa na jamaa mmoja anajiita Dalali wa mapenzi, na hata ndio maongezi yake Dalali: money penny bwana inabidi upewe maua yako?? Money penny: ya kwenda wap me natafuta hela Dalali: unajua we mtoto Una akili ila wachawi wengi Money Penny: na Mungu anakuwa wap labda?? Dalali: money...www.jamiiforums.com
🙄🙄🙄🙄Hiki kipengele kirudiwe🤣
🤣🤣🤣⛱️Hivi mimba inakuwa ni ya mwanaume au mwanamke?
NI swali nimeuliza hapo, nisaidie kujibu basi. Mimba huwa inakuwa ya mwanaume au mwanamke?www.jamiiforums.com
TAFUTA HELADear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
Mkuu Kuna watu Wana masters wapo kitaa.Dunia hii!!!!!Dah Ila maisha sio poa ee
Degree holder anaendesha bodaboda😭😭😭
Tena WA chip UDSM
Anataka kuoa bhn 🤣TAFUTA HELA
NatafutaTAFUTA HELA
JamaanMkuu Kuna watu Wana masters wapo kitaa.Dunia hii!!!!!