Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Kwanini anamuita bwana wake wakati bado hawajaoana wala jamaa bado hajapewa mbususu? Hawa bado wako katika kipindi cha uchumba.Hata hivyo kama wanapendana haina shida kuoana hata kama mwanaume ni mwendesha bodaboda wakioana maisha yatawanyookea mbele ya safari
 
Olewa na mpenzi wako yule anaepata basic salary 500k kabla ya makato au subr had utakapompata huyo unaemtaka mwenye uwezo wa kununua gari
 
Yaani yeye ana degree ana miaka 5 kakosa hata chakufanya ila mwemzie anakazi ya bodabodaa anataka ndoto zake zakumiliki gari amfanikishie,, ubinafsi wa hali ya juu sana na tamaa zisizomithilika.
Why so judgemental??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…