Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
Hata wewe pesa na Mali unapendaMtatumika sana kwa sababu mnapenda sana pesa na mali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe pesa na Mali unapendaMtatumika sana kwa sababu mnapenda sana pesa na mali
Huo mkwara Tu Sawa na duwa la kukuSawa ila usisahau kumwambia life halina formula asije akalia baadae
Mimi kama Mama yake namshauri aendelee na Yesu aachane na mashalobalowewe kama mdada mwenzake unamshaurije??
Mnunulie gutaDear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
We utakuwa unakata miti Kwa ajili ya kuuza mbao kama haugemi nazi 🚶🚶🚶🚶🚶HApana kwa sababu mimi mhuni. Huwa siumizwi wala kufikirishwa na mafanikio ya waliokuwa washkaji. Mimi maisha nayachukulia simpo simpo kama kucheza draft hayanichanganyi kabisa. Yakinishinda narudi arumeru kuzika pumbu.
yesu hakutaja pesa kwenye sifa za mume boraMimi kama Mama yake namshauri aendelee na Yesu aachane na mashalobalo
Amngoje Bwana awe hodari atampatie mume swaaafi
Njoo upande bodaboda hii hapa buku TuNgoja kwanza nilale, niote, nikiamka nitatoa ushauri.
Natafuta ila sio nyie mnataka mpigwe pipe ndio mpate pesaHata wewe pesa na Mali unapenda
Yani wewe ndio unamrudisha shamba kabisa mwenzio😂😂😂Mnunulie guta
Njoo upande bodaboda TSH 1000 hii hapayesu hakutaja pesa kwenye sifa za mume bora
Basi wewe njoo panda bodaboda hii hapa inakusubiriaNatafuta ila sio nyie mnataka mpigwe pipe ndio mpate pesa
HahahahahaRenegade [emoji23] Ausio
Sasa mapenzi watafanyiwa wap??Kula chuma hichoo Eliza, ndo ajira zilizosalia kwa nchi yetu
Umenikumbusha hii kitambo.Njoo upande bodaboda hii hapa buku Tu
View attachment 2724663
Hahaha nimekumbuka kuna madogo walikua wanamuita "rinolensi" 😂😂Hahahahaha
Mwendesha bodaboda WA Kwanza Duniani
We nae una nyuzi nyingi mnoDear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
Weee me nilikuwa chuoUmenikumbusha hii kitambo.
Huyu bwana ashakua mkulungwa lazima anacheza kwenye 60's. Money Penny ulikua ushazaliwa kweli? Maana wengine ndiyo tulikua tunamaliza sekondari wakati huo.