Bwawa la Nyerere na MV. Mwanza ni kielelezo tosha kuwa Hayati Magufuli alitumia vyema pesa za umma. Sio hii habari ya tril 1 kujenga madarasa hewa

Bela mwendazake msingejenga bwawa laumeme ata mama alisema alijitoa muunga ata pale mlipo ends ujerumani kushitaki kudadadeki chuma kilisimama ,nyie mgeogopa mwamba yule kajenga sgr ingawa waloli naisi awakupenda chuma kile akunaga
 
Bela mwendazake msingejenga bwawa laumeme ata mama alisema alijitoa muunga ata pale mlipo ends ujerumani kushitaki kudadadeki chuma kilisimama ,nyie mgeogopa mwamba yule kajenga sgr ingawa waloli naisi awakupenda chuma kile akunaga
Kwanza ni too expensive hakuna mtu mwenye akili aache gas aanze limradi expensive kama hilo
 
Kwanza ni too expensive hakuna mtu mwenye akili aache gas aanze limradi expensive kama hilo
Tuna kinyerezi one two mpaka three aya tuambiwe imepunguza garama za umeme kiasi gani za unit ,lengo la chuma bei ya unit ishuke by otuba yake wakati wa kuweka jiwe la msingi, sio umeme wa uwakika tu Bali na ghalama zishuke , Watu tupikie ,tumulikie ,tuanzishe viwanda vidogo ,Akili kubwa Ile chuma kama chuma
 
Utajaza mwenyewe, JPM ni wa pekee, ache wengine muige
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…