[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kituko,nitajie mwekezaji yeyote wa maana hata mmja aliyekuja zama za Mwendazake.
Kama Mwendazake alileta wawekezaji Rais Samia atasemaje Sasa maana huyu ni noma..
Zama za Jiwe kukuta takwimu kama hizi ambazo hazina utata ilikuwa ni haiwezekani
Bela mwendazake msingejenga bwawa laumeme ata mama alisema alijitoa muunga ata pale mlipo ends ujerumani kushitaki kudadadeki chuma kilisimama ,nyie mgeogopa mwamba yule kajenga sgr ingawa waloli naisi awakupenda chuma kile akunaga