Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yah mi niko iPhone kwa muda, ila ntapita South Korea kidogo kabla sijarudi kwa iPhone ya Mu Beijing (Oppo)We mkuu si unatumia iphone mkuu, mimi nimekamata xiaomi m11lite maisha mterezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah mi niko iPhone kwa muda, ila ntapita South Korea kidogo kabla sijarudi kwa iPhone ya Mu Beijing (Oppo)We mkuu si unatumia iphone mkuu, mimi nimekamata xiaomi m11lite maisha mterezo
Mbeijing ameanza kuwa hatari sana kuawa kwa huawei kumewafanya waasi wengine kujizatiti katika mapambanoYah mi niko iPhone kwa muda, ila ntapita South Korea kidogo kabla sijarudi kwa iPhone ya Mu Beijing (Oppo)
Ahsante mkuu nilichukua redmi note 10Naomba nikushauri kuna toleo la "Xiaomi" hizi cmu za wachina uhakika sana japo watu wengi hawajazijua simu ni kali kuanzia camera, storage na battery waranti ya uhakika ukipata muda fuatilia...ni ushuri tuu. Tukirudi kwenye machaguo yako Samsung ni bora kuliko kwa budget yako nakushauri uchkue A70,S9+ Galaxy au Note 8 bei inaweza ongezeka kidogo.
Eeh majeshi bado yako mengi bado kuna vivo, xiaomi, oneplus ila oppo atakuja kuwa tishio nae😂😂😂Mbeijing ameanza kuwa hatari sana kuawa kwa huawei kumewafanya waasi wengine kujizatiti katika mapambano
Nokia beam proTutajie simu unayotumia....
Unajua kuwa huyo ni profesa aliyeanzisha uzi wa kulana kimaslahi, mtake radhiActually ni samsung.
Unavyoonesha elimu ilivyokupiga chenga hata simple reasoning unashindwa.
We jamaa una streaming services zote[emoji23][emoji23][emoji23] na e-commerce platforms mpaka Wish duh
Kwanza kabisa naomba maana ya Qualcom na MTK
Samsung A10, A12, A02, A11 na nyingine nyingi tu mkuuMtk ndio zile watu wa infinix na tecno wamewekewa kwenye simu zao[emoji23][emoji23]
Nasikiaga ndio mediatek processor ukiitumia simu inakuwa kama grinade
Moja ya kitu wanachoboresha ni kutokula umeme,sawa nafaka!!!Unaongelea simu ya miaka 7 iliyopita mkuu, mengi yamebadilik. Teknolojia iko kasi sana.
Sikatai kwamba compared na socks nyingine bado ni inferior ila now zimeboreshwa ukilinganisha na za hapo nyuma zilikuwa takataka kweli.
Kwa mtumiaj wa kawaida wa simu anayejali tu jina la simu, anaweza nunua samsung A12 na asinotice chochote
Kuna dimesntry serires zinafanya vizuri sanaHamna kitu hizo processor
Mimi situmii tecno wal infinix hizo brand zimenipita kushoto.Moja ya kitu wanachoboresha ni kutokula umeme,sawa nafaka!!!
Kwenye nguvu huko ni mtihani ndugu yangu.
Maana hata kanuni za fizikia ziko wazi,nguvu kubwa=nishati zaidi,na kinyume chake.
Ukiona masimu ya bei mbaya yanashindwa kuwekeza hapo kwenye MTK ujue kuna tatizo sehemu sio bure.
Hakuna simu isiyopungua speed baada ya kujaa,shida ni kwamba inapungua speed kwenye jambo gani!!!simu inakusubirisha mpaka ukitaka kupiga 100 **** countdown ya kurespond.kwahiyo tecno na inafinix zenu mnazosifia huku mmejaza picha hamuwatendei haki wataalam,ila wauzaji wa kkoo.
Hata Samsung A series ina MTK na inapiga kazi kama haina akili nzuriMtk ndio zile watu wa infinix na tecno wamewekewa kwenye simu zao[emoji23][emoji23]
Nasikiaga ndio mediatek processor ukiitumia simu inakuwa kama grinade
Concept za simu zinakuwaga kali kuliko simu zenyewe. Mfano concept za simu za apple zinakuwaga kali sanaMchina ni disaster,hii ni concept
Ila usishangae apple au samsung wakaidaka akizubaa,maana maumbo ya simu za iphone na samsung yanafika mwisho siku hizi.View attachment 1795225View attachment 1795226
Mfano hii ilitoka kama concept ya iphone 11Mchina ni disaster,hii ni concept
Ila usishangae apple au samsung wakaidaka akizubaa,maana maumbo ya simu za iphone na samsung yanafika mwisho siku hizi.View attachment 1795225View attachment 1795226
Hii ilikiwa chumvi sana,walizidisha aisee.Mfano hii ilitoka kama concept ya iphone 11View attachment 1795314