Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaMuda wa kunyoana.
Baada ya First leg kutamatika kwa Al Ahly kutoka na ushindi wa mabao 2-1 leo ni fainali ya pili itayokwenda kutangaza Bingwa
Mechi ni saa 4
Vikosi kwa timu zote mbili
Wydad
View attachment 2654340
Al Ahly
View attachment 2654339
nyie mara ya mwisho champions mlifika robo mwaka gani?Mashindano kama haya simba akijitahidi sana basi ni Robo fainali. Naamini Mwakani muda kama huu Taifa litakuwa linawaangalia Wananchi kwa mara nyungine tena.
مرحبا، حمل تطبيق ياسين تيفي الان لمشاهدة جميع المباريات والعديد من القنوات بدون تقطيع من هنا : www.yacineapp.tvMwenye link jaman plz anisaidie!
Soma vizuri maelezo yangu hapo juu. Mwakani kama sasa hivi mtakuwa mnawaangalia kaka zenu wakicheza fainali kama hii.nyie mara ya mwisho champions mlifika robo mwaka gani?
Play offHivi Mbeya City wameshuka daraja au watacheza playoff?
Sometimes uwe unaficha upumbavu wako [emoji41]Hvi Team zote zimeshakandwa na simba
Wanasubiri wydad ashinde waseme walifungwa na bingwaHaya ndiyo yale mashindano ambayo simba ikijitahidi sana huishia Robo fainali.
Naamini Mwakani muda kama huu Taifa litakuwa linawaangalia Wananchi kwa mara nyingine tena.
Hayo ndio mashindano Utopolo walitolewa raundi ya kwanza miaka miwili mfululizo lakini inafanywa siri.Haya ndiyo yale mashindano ambayo simba ikijitahidi sana huishia Robo fainali.
Naamini Mwakani muda kama huu Taifa litakuwa linawaangalia Wananchi kwa mara nyingine tena.
Sometimes uwe unaficha upumbavu wako [emoji41]
Pitia avater yangu upate stim ya mmea kwanza. Bangi aivutwi usikuHawa Wote Wanaocheza Final Leo Wanaiogopa Simba Sc
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]