Wabongo tuna changamsha sana soka la Africa, kwa vyovyote ni challenge kwa Caf kuangalia ni namna gani ya kufanya vilabu vyetu visonge mbele kwenye michuano ya Caf
Yes..
Serikali haitusupport sana kwenye viwanja. Angalia viwanja vyote vya CCM hali ni mbaya sana.
 
[QUOTE="Scars, post: 48025586, member: 427454"Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi..[/QUOTE]

Mkuu, huo u PEKEE unakujaje hapo kwa Tanzania? Hapo ungeandika, TANZANIA, MISRI na TUNISIA ndizo nchi pekee zilizotoa TIMU MBILI MBILI! Ni historia, na sifa ya kipekee, ingawa tumeaibisha kule SHIRIKISHO, ambako tulifika fainali msimu uliopita!
 

Upekee nilioumaanisha mimi sijaringinisha na mataifa mengine bali kutokana na hapo awali Tanzania tulikuwa na timu 4 zinazoshiriki hii michuano.

Lakini mpaka saizi ni timu mbili pekee ambazo zinawakilisha nchi
 
[QUOTE="Scars, post: 48025586, member: 427454"Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi..

Mkuu, huo u PEKEE unakujaje hapo kwa Tanzania? Hapo ungeandika, TANZANIA, MISRI na TUNISIA ndizo nchi pekee zilizotoa TIMU MBILI MBILI! Ni historia, na sifa ya kipekee, ingawa tumeaibisha kule SHIRIKISHO, ambako tulifika fainali msimu uliopita![/QUOTE]Mkuu elewa Kiswahili "Simba na Yanga ndio timu pekee KUTOKA Tanzania zilizofanikiwa kuingia makundi CAFCL", hakuna timu nyingine zilizotoka hapa zaidi ya hizo, sasa hizo Misri na Tunisia zimeingiaje tena hapo
 
Sawa mkuu; endelea kutupa updates. Tupo hapahapa tunasubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…