Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
KwambaGongowazi hana chake, huku hakuna washuka daraja so ile slop haipo tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwambaGongowazi hana chake, huku hakuna washuka daraja so ile slop haipo tena
Kweli muhasibu simba ndo ana ahueni ila bado hajafuzuHuyo akili zake tunazijua. Hapo Simba ndio ana ahueni. Kundi D ni gumu
Uliongea rahisi kwa mdomo ukidhani Yanga sisi ni warahisiMkuu Yanga kazi wanayo kuliko Simba,Al Ahly na Belozdad wana uwezo wa kupata points zote 3 wakicheza na Yanga halafu waje kutafuta point 1 hapa au 3 kabisa
Kundi A watapita: Mamelody na Pyramid
Kundi B watapita: Wydad na Asec
Kundi C watapita: Experience na Atletico
Kundi D watapita: Al Ahly na Yanga
AahaaaNi kweli wameongea sana na hawajafuzu
Aahaaa,Mamelody na TP Mazembe [emoji736]
YametimiaKuna uwezekano yanga Africa akaondoka na point 2 tu .
kundi gumu kweliYanga wameumaliza mwendo.. Simba hapo timu zote tatu tunazijua tumecheza nao na tuliwamudu. Sasa jamaa zangu miaka 25 halafu anakutana na kundi gumu kama hili?
Wapi?UTOPOLO bye bye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Mlichonga sanaUtopolo asnteni kwa kushiriki [emoji23][emoji23]
Ona huyu mwingine😄....maskini yanga.
This tym wanaondoka mapema sana. Hilo group wanaenda waraabu
Mbwaaaaa Mbwaaaaaa! Mbwaaaaaaa! 🐺🐕🐕🐕Poleni sana ndugu zangu Yanga,mkitoboa hilo kundi niiteni Umbwaaa
Kweli wewe ni Phd 🙌👏👏Tuache utani usiokuwa na faida, Simba na Yanga wakiwa na kauli mbiu ya kila mtu ashinde mechi zake wote wanaingia robo fainali.
Kanuni ya group stage usikubali kufungwa Nyumbani, make sure hata awe nani anaacha point zote 3 maana yake unabeba point 9, mechi za nje hata ukipata drop moja unakwenda robo fainali, hii hesabu Al Ahaly ndio wanaiishi, ndio sababu huwakosi kwenye robo fainali.
Mkia wako au?Group D Yanga atashika mkia
Au sioYanga hamtoi CR belouizdad acha utani
Kweli kabisa na ikawa hivyoyanga ipo kundi gumu lakini itawashangaza sababu kuanzia sasa wanajua wako kwenye kundi gumu hivyo itawafanya wasidharau timu wala nafasi yoyote watakayopata
Unaweza kuwa mjinga ila jitahidi kuficha watu wasijueAl Ahly na Belozdad washapita tayari kwenye kundi la Yanga,sasa sijui tuwasidiaje hao wwngine maana watapigwa nje ndani,hilo kundi naona Yanga atakuwa anashindana na huyo mwingine ili kujua nani underdog zaidi kati yao
Naam wapewe maua yaoYanga SC wana mtihani mkubwa na kama wakiuvuka wapewe mauwa yao .. CR Belouzidad & Al ahly (egypt) ni waarabu halisi.
Simba SC wapo kwenye kundi jepesi kimtazamo ila ni ngumu kwenye uhalisia..
🇹🇿