kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Makundi yote yana team ngumu kaka.
Nilikutumia salam ulizipokea?
Salamu? Hapana
Kwa nani? Dada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makundi yote yana team ngumu kaka.
Nilikutumia salam ulizipokea?
Hapa yanga ana pointi 6 za bure!! Ataionea medeama FC ndani nje!!CAF CHAMPION LEAGUE DRAW
GROUP A
Group B
- MAMELODY
- PYRAMIDS
- TP MAZEMBE
- FC NOUADHIBOU (MTN)
Group C
- WYDAD
- SIMBA
- ASEC MIMOS
- JWANENG GALAXY
Group D
- E.S.T
- ATLETCO PETROLIAS
- AL HILAL
- EPERENCE TUNIS
- AL AHLY
- CR BELOUUIZAD
- YANGA
- MEDEAMA FC
Unaongelea kombe la losers au? Hili kombe la wanaume haukunusa hatua ya makundi ukapelekwa kwa losers!!Mwaka jana mlisema hivihivi, tukafika fainali
Yanga anajuwa namna ya kufika fainali.Simba anajua kucheza group stage, unaweza mfunga taifa still akatoboa
MulemuleSalamu? Hapana
Kwa nani? Dada?
Hapa nazungumzia cl na sio ccYanga anajuwa namna ya kufika fainali.
Mtoano una points? Nyie utopolo mna akili kweli? Au ndio tuamini huko wenye akili ni wawili tu? IHEFU na PD nani mkali?Ebu tuongee hili kwanza, timu iliyoshindwa kuchukua points hata 3 kwa Power Dynamo hivi kweli wataweza kuchukua point hata 1 kwa Asec na Wydad??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa mention hao watano maana unabishana mpaka na picha.......?
Nimeangalia kile kikosi kilichocheza na nyie na hiki kinachocheza na Al Ahly nimeona kuna rotaion imefanyika kwa USM Algier ya wachezaji kama 5 hivj
Hiki ndio kikosi kinachocheza muda huu
View attachment 2750492
Hiki ndio kikosi kilichocheza na nyie mechi ya mwisho
Hawa ndio wachezaji walioongezeka
Lamara, Benzanza, Tumisang, Fattouhi, Belkacmi
View attachment 2750495
Mtakoma,maji mtaita mmmaa,ihefu kaonyesha njia wengine watajipigia kwenye mshono tuMbwaaa koko
Hapana mkuuSikufaham
Ulikua iringa?
Oohhh.... tusubiri muda utatoa majibu.Al Ahly na Belozdad washapita tayari kwenye kundi la Yanga,sasa sijui tuwasidiaje hao wwngine maana watapigwa nje ndani,hilo kundi naona Yanga atakuwa anashindana na huyo mwingine ili kujua nani underdog zaidi kati yao
Hawawezi kukuelewa hadi muda ukifika.Naona mikia mnachekelea group na kuona Yanga wamepangwa group gumu Zaidi,kumbukeni kwenye group lenu wote wameshawapasua,huyo Galaxy aliwapasua Kwa Ben, acheni mbwembwe nyingi mpira unachezwa kiwanjani
Msimu uliopita mlisema ivyo ivyo tukaishia kubeba NBC PL, FA pamoja na kuvaa medali za CAF.Mtakoma,maji mtaita mmmaa,ihefu kaonyesha njia wengine watajipigia kwenye mshono tu