CAF: Draw ya makundi: Simba Group B, Yanga Group D
CAF CHAMPION LEAGUE DRAW

GROUP A
  1. MAMELODY
  2. PYRAMIDS
  3. TP MAZEMBE
  4. FC NOUADHIBOU (MTN)
Group B
  1. WYDAD
  2. SIMBA
  3. ASEC MIMOS
  4. JWANENG GALAXY
Group C
  1. E.S.T
  2. ATLETCO PETROLIAS
  3. AL HILAL
  4. EPERENCE TUNIS
Group D
  1. AL AHLY
  2. CR BELOUUIZAD
  3. YANGA
  4. MEDEAMA FC
Hapa yanga ana pointi 6 za bure!! Ataionea medeama FC ndani nje!!
 
Wa mention hao watano maana unabishana mpaka na picha.......?
Nimeangalia kile kikosi kilichocheza na nyie na hiki kinachocheza na Al Ahly nimeona kuna rotaion imefanyika kwa USM Algier ya wachezaji kama 5 hivj


Hiki ndio kikosi kinachocheza muda huu
View attachment 2750492


Hiki ndio kikosi kilichocheza na nyie mechi ya mwisho

Hawa ndio wachezaji walioongezeka

Lamara, Benzanza, Tumisang, Fattouhi, Belkacmi
View attachment 2750495
 
Wewe watano unawaona vipi ,kwenye mechi ya Al Ahly walio anza first eleven ,wachezaji wapya walikuwa wawili hao watano ww umewatoa wapi.
Round ya kwanza kwa Mkapa kikosi kilikuwa hivi.
Screenshot_20231006_202159_Chrome.jpg

Round ya pili.
Screenshot_20231006_183736_Chrome.jpg

Kikosi hiki.

Mechi na Al Ahly
Screenshot_20231006_183927_Chrome.jpg

Yaani tunapigana kamba mpaka kwenye vitu vinavyo onekana.

Au kuna wengine mnawaona hao wachezaji watano ,mimi nawaona wawili ambacho kwenye mpira ni kitu cha kawaida kuna majeruhi, kadi za njano mbili.
 
Naona mikia mnachekelea group na kuona Yanga wamepangwa group gumu Zaidi,kumbukeni kwenye group lenu wote wameshawapasua,huyo Galaxy aliwapasua Kwa Ben, acheni mbwembwe nyingi mpira unachezwa kiwanjani
 
Al Ahly na Belozdad washapita tayari kwenye kundi la Yanga,sasa sijui tuwasidiaje hao wwngine maana watapigwa nje ndani,hilo kundi naona Yanga atakuwa anashindana na huyo mwingine ili kujua nani underdog zaidi kati yao
 
Walikuwa wanaongea sana kwamba club bingwa siyo ishu,haya sasa mmepewa bingwa mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Al Ahly na Belozdad washapita tayari kwenye kundi la Yanga,sasa sijui tuwasidiaje hao wwngine maana watapigwa nje ndani,hilo kundi naona Yanga atakuwa anashindana na huyo mwingine ili kujua nani underdog zaidi kati yao
Oohhh.... tusubiri muda utatoa majibu.
 
Naona mikia mnachekelea group na kuona Yanga wamepangwa group gumu Zaidi,kumbukeni kwenye group lenu wote wameshawapasua,huyo Galaxy aliwapasua Kwa Ben, acheni mbwembwe nyingi mpira unachezwa kiwanjani
Hawawezi kukuelewa hadi muda ukifika.
 
Back
Top Bottom