Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Yanga ni Bora kuliko SimbaNingependa kujua vigezo vilivyotumiwa na Caf kuanzisha haya mashindano kwa sababu kama wamechukua timu bora kila ukanda Kwa hivi sasa Rivers ni bora kuliko Enyimba
Point za caf zinawabeba enyimbaNingependa kujua vigezo vilivyotumiwa na Caf kuanzisha haya mashindano kwa sababu kama wamechukua timu bora kila ukanda Kwa hivi sasa Rivers ni bora kuliko Enyimba
Point? alafu timu ubora kwa sasa haina uboro?? au imezingatiwa hivyo ili kulinda ubora wa Al ahly..!!?Point za caf zinawabeba enyimba
Umemaliza Kila kitu.Tukihoji kila jambo tutapoteza Muda mwingi sana.....
Maisha Wakati mwingi hayapo Fair....
Cha Muhimu ni kupambana Sana
Yanga ambayo kwa miaka 25 haijawahi kushiriki tu japo makundi champions league au kuna yanga nyingineNa Yanga ni Bora kuliko Simba
Tunazungumzia Vigezo na Ubora...Yanga ambayo kwa miaka 25 haijawahi kushiriki tu japo makundi champions league au kuna yanga nyingine
Vigezo na ubora vinatokana na nini wakati miaka 25 hawajaingia hata robo? Una ubora halafu miaka 25 hujanusa robo?Tunazungumzia Vigezo na Ubora...
Upuuzi kutoka kwa mpuuzi... Watu wanajadili Kwanini Simba ndio timu pekee iliyo katika Hilo Bonanza na haina kikombe cha CAF ukilinganisha na timu zingine zinazoshiriki!!Vigezo na ubora vinatokana na nini wakati miaka 25 hawajaingia hata robo? Una ubora halafu miaka 25 hujanusa robo?
Nimejibu aliyequote na siyo mtoa mada,acha kukata mauno hapaUpuuzi kutoka kwa mpuuzi... Watu wanajadili Kwanini Simba ndio timu pekee iliyo katika Hilo Bonanza na haina kikombe cha CAF ukilinganisha na timu zingine zinazoshiriki!!
Point za caf zinawabeba enyimba
Upuuzi kutoka kwa mpuuzi... Watu wanajadili Kwanini Simba ndio timu pekee iliyo katika Hilo Bonanza na haina kikombe cha CAF ukilinganisha na timu zingine zinazoshiriki!!
Wala sio swala la ubora...!!Sababu Africa mashariki hakuna timu iliyowai kubeba kombe la caf.. hapo ndipo simba amepata upenyoo
Umapokuwa mzoefu kukatia mauno mabwana zako unadhani sote tuko sawa na wewe?Nimejibu aliyequote na siyo mtoa mada,acha kukata mauno hapa