CAF wametumia vigezo gani kupata timu katika mashindano ya Africa Football league (AFL)

CAF wametumia vigezo gani kupata timu katika mashindano ya Africa Football league (AFL)

Hili swali ni ngumu kwa sisi hapa Bongo kulijibu, maana haya mashindano yanafanyika kwa mara ya kwanza ikiwa kama sehemu ya Ufunguzi wa mashindano ya namna hii, Caf wana sababu zao za kufanya hivi ambazo hata sisi uku ni ngumu kuzijua ila si kama wengi wanavosema eti kigezo cha ubora wa timu maana kuna timu ni bora na za muda mrefu zikifanya vizuri bila kutoka kwenye ubora ila hazipo kwenye mashindano haya.
 
Mbona mnateseka hivi.? Walioanzisha mashindano ni CAF na ndio watoaji wa pesa Kwa timu shiriki. Walisema kabisa kwamba watazingatia records za timu shiriki katika michuano ya CAF Kwa miaka mitano iliyopita. Haya tuseme Simba anaondolewa, ukanda huu Kuna timu gani nyingine? Tunasahau kwamba timu inayopiguwa kelele kwamba ni Bora imechukua miaka zaidi ya 20 bila kuingia hata makundi? Simba hajachukua kikombe Cha Afrika, ni sawa. Timu gani ya Afrika mashariki imebeba kikombe Cha CAF? Mbona haya ni maswali mepesi TU? Sasa hivi mnaliita bonanza na wakati Kuna waziri alitumwa akaombe na Yanga pia ijumuishwe kwenye vilabu vya AFL? Shida ni nini hasa? Mbona siku hizi watu hawajadili mpira nchini mwetu? Tumekuwa na mihemko inayotuondoa kwenye uhalisia. Tukiwasikiliza wale wachaMBUZI basi tunatoka tumebeba maneno ya hovyo na kushindwa kutafakari vizuri. Tuzungumze mpira Kwa akili na utashi unaoleta mwangaza Kwa wengine.
 
Mbona mnateseka hivi.? Walioanzisha mashindano ni CAF na ndio watoaji wa pesa Kwa timu shiriki. Walisema kabisa kwamba watazingatia records za timu shiriki katika michuano ya CAF Kwa miaka mitano iliyopita. Haya tuseme Simba anaondolewa, ukanda huu Kuna timu gani nyingine? Tunasahau kwamba timu inayopiguwa kelele kwamba ni Bora imechukua miaka zaidi ya 20 bila kuingia hata makundi? Simba hajachukua kikombe Cha Afrika, ni sawa. Timu gani ya Afrika mashariki imebeba kikombe Cha CAF? Mbona haya ni maswali mepesi TU? Sasa hivi mnaliita bonanza na wakati Kuna waziri alitumwa akaombe na Yanga pia ijumuishwe kwenye vilabu vya AFL? Shida ni nini hasa? Mbona siku hizi watu hawajadili mpira nchini mwetu? Tumekuwa na mihemko inayotuondoa kwenye uhalisia. Tukiwasikiliza wale wachaMBUZI basi tunatoka tumebeba maneno ya hovyo na kushindwa kutafakari vizuri. Tuzungumze mpira Kwa akili na utashi unaoleta mwangaza Kwa wengine.
Hoja ni huo ubora na ukubwa mnaojisemea kuwa mnao Afrika!! Kumbe mmepata kutoka na ukanda?
 
Ilikuwa

Niambia mara ya mwisho enyimba amefika makundi mwaka gani ?


Kwenye decade hii ( miaka 10 mfululizo ) elezea performance ya enyimba hatua alizoishia kila msimu
Itakuwa ndugu yangu umeanza kufatilia mpira juzi mbona walicheza 2020 au ulikuwa hufatilii 🤣🤣
 
Itakuwa ndugu yangu umeanza kufatilia mpira juzi mbona walicheza 2020 au ulikuwa hufatilii 🤣🤣

Mbona maelezo unatoa juu juu

Weka maelezo yaliyonyooka.

Nimekuuliza miaka 10 mfululizo.

Sema mwaka 2023 enyimba kafika hatua fulani mashindano ya caf champions league.

Rudi tena mwaka 2022 enyimba kafika hatua fulani..

Rudi tena 2021

Sio juu juu.

Maana hata huo mwaka 2020 umeficha kusema ni mashindano gani alifika makundi kati ya shirikisho ama ligi ya mabingwa..

Weka wazi
 
Mbona maelezo unatoa juu juu

Weka maelezo yaliyonyooka.

Nimekuuliza miaka 10 mfululizo.

Sema mwaka 2023 enyimba kafika hatua fulani mashindano ya caf champions league.

Rudi tena mwaka 2021 enyimba kafika hatua fulani..

Sio juu juu.

Maana hata huo mwaka 2020 umeficha kusema ni mashindano gani alifika makundi kati ya shirikisho ama ligi ya mabingwa..

Weka wazi
Niweke wazi nini mkuu wew si umesema enyimba ajacheza makundi ana miaka 10 au unakataa hoja yako
 
Back
Top Bottom