CAF wametumia vigezo gani kupata timu katika mashindano ya Africa Football league (AFL)

CAF wametumia vigezo gani kupata timu katika mashindano ya Africa Football league (AFL)

Enyimba ana historia kubwa sana. Ameshiriki champions league mara nane na confederation mara tatu. Jumla mara Kumi na moja katika mashindano ya CAF huku akichukua ubingwa, kufika nusu fainali na robo fainali mara kadhaa.

Sijakataa. Ubingwa wake wa mwisho alichukua miaka 20 iliyopita.

Kwa miaka hii.. yaani miaka 10 iliyopita. Enyimba kacheza hatua ya makundi caf champions league mara moja tu. Ilikuwa mwaka 2016.

Baada ya hapo kwa miaka 7 mfululizo enyimba hajawai kucheza hatua ya makundi ya caf champions league.

Kwa kigezo alichosema mdau cha kuangalia ubora wa timu miaka mitano mfululizo iliyopita.. enyimba hana ubora wowote

Timu bora gani kwa miaka 10 mfulizo imegusa makundi mara 1 tu. Halafu useme ni mashindano ya timu bora
 
Sijakataa. Ubingwa wake wa mwisho alichukua miaka 20 iliyopita.

Kwa miaka hii.. yaani miaka 10 iliyopita. Enyimba kacheza hatua ya makundi caf champions league mara moja tu. Ilikuwa mwaka 2016.

Baada ya hapo kwa miaka 7 mfululizo enyimba hajawai kucheza hatua ya makundi ya caf champions league.

Kwa kigezo alichosema mdau cha kuangalia ubora wa timu miaka mitano mfululizo iliyopita.. enyimba hana ubora wowote

Timu bora gani kwa miaka 10 mfulizo imegusa makundi mara 1 tu. Halafu useme ni mashindano ya timu bora
Ni sawa, ila amecheza semi final confederation 2018, 2021 na 2021 amefika quarter finals confederation.
 
Mkuu, hivi ranks za caf unazipitia? Au ukubwa wa clubs barani Afrika unakuwa determined na mashabiki mitaani?
Ukubwa it's about vikombe na sio performance ya muda mfupi!!, Enyimba yupo namba ngapi kwenye hzo rank?.
 
Toka mwaka 2018 hadi 2021 ameshiriki mashindano ya CAF Kwa ujumla mara nne mfululizo 2022 pekee ndo Enyimba hakugusa mashindano ya CAF. Kwahiyo, Kwa ukanda wao, hakuna club yenye historia hiyo.
 
Ukubwa it's about vikombe na sio performance ya muda mfupi!!, Enyimba yupo namba ngapi kwenye hzo rank?.
Hivi ndugu yangu, tutumie logic nyepesi TU, vilabu vyote Bora ulaya vimewahi shinda uefa champions league? Mbona wenzetu timu kufika makundi TU mara kadhaa ni achievement kubwa? Sisi tuna dharau kwakuwa TU timu fulani tunazo zishahabikia hazipo. Na sababu ni wazi, hazipo Kwa sababu Kwa miaka mitano iliyopita hazikuwa bora kulinganisha na zilizoingia AFL.
 
Ukiandika kwamba mashindano yameandaliwa kwa kuangalia ubora wa vilabu kwa miaka mitano sikweli kwakua Simba aipo katika nafasi 8 za juu za vilabu vilivyo fanya vizuri katika miaka 5.
Enyimba aipo katika vilabu bora 8 Afrika au viabu vilivyo fanya vizuri ndani ya miaka 5.

Kuna kitu kimoja kinaleta logic, Yule boss Motsepe alipigiwa pande na Senzo kwa yule bibie mwenye kitoto kwasasa.
Senzo ali mtonya Motsepe udhaifu ya yule bibie ni umaarufu na sifa za kijinga.

Motsepe aka muingia bi Miwani, na kumpa nafasi kama mjumbe wa mashindano ya wanawake na unaibu katibu wa mipango ya Caf.

Fikiria mtu asiyejua chochote katika soka tena recruit wa Magori, anakwenda kuwa naibu katibu mipango Caf!!!

Mwamba kajitafunia na Simba kufaidika kwao ni kupata iyo nafasi kama Mashemeji .

Ili kunogesha, Mwamba BIG G kaiongezea sukari kwa kufanya Simba awe mwenyeji.

Ukitaka kuwauliza,.wao wenyewe caf baadhi ya wajumbe hawaelewi ata vigezo vilivyo tumika ni vipi maana ukiwa serious kwa vigezo vinavyo tamkwa na wenyewe mbumbumbu fc hawa fit popote.

Ni mambo ya kishemeji zaidi ndiyo yanayo ibeba Simba kule Caf kwasasa, ata ilo kundi lao la champion league shemeji Motsepe ndie aliye litengeneza.
 
Utawala wa enyimba umeisha miaka ishirini iliyopita.

Enyimba ana utawala gani akusanye points decade hii
Aliyesema hayo mashindano ni bonanza ajakosea hapo Caf wameyumba sana wanawatengenezea waarabu mazingira wazi wazi
 
Niweke wazi nini mkuu wew si umesema enyimba ajacheza makundi ana miaka 10 au unakataa hoja yako
Hivi unafuatilia mpira kweli? 2020 Enyimba kacheza makundi???
Acha UONGO mkuu

Magroup ya caf 2020 yote hayo hapo chini tuoneshe Enyimba hapo👇
 

Attachments

  • Screenshot_20231017-164803_Sofascore.jpg
    Screenshot_20231017-164803_Sofascore.jpg
    107.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231017-164800_Sofascore.jpg
    Screenshot_20231017-164800_Sofascore.jpg
    115.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231017-164756_Sofascore.jpg
    Screenshot_20231017-164756_Sofascore.jpg
    110.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231017-164751_Sofascore.jpg
    Screenshot_20231017-164751_Sofascore.jpg
    110.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom