Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Usikute nabishana na mtoto hapa ngoja nikuacheMwaka 2020 enyimba alitolewa hatua ya awali ya ligi ya mabingwa africa.. hakufika makundi ya ligi ya mabingwa
Unatudanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute nabishana na mtoto hapa ngoja nikuacheMwaka 2020 enyimba alitolewa hatua ya awali ya ligi ya mabingwa africa.. hakufika makundi ya ligi ya mabingwa
Unatudanganya
Usikute nabishana na mtoto hapa ngoja nikuache
Ligi ya mabingwa 2016 na 2018 na 2020Kacheza hatua ya makundi ya michuano gani ?
Ligi ya mabingwa afrikaTaja makundi ya michuano gani ?
Historia ya Enyimba mashindano ya CAF ipo hapaNiweke wazi nini mkuu wew si umesema enyimba ajacheza makundi ana miaka 10 au unakataa hoja yako
Ni aidha hawaelewi au wanajitoa akili tu.Wanadhani timu inapata nafasi kwa ujingaujinga wa siku mbili tu.Timu zilizoonesha umahiri kwa zaidi ya miaka sita wanataka wawe sawa na walioibukia uvunguni siku mbili zilizopita.Ni ranks za CAF kwa miaka 5 iliyopita, Ushiriki wa mashindano ya CAF pamoja na idadi ya mashabiki.
Ligi ya mabingwa afrika
Historia ya Enyimba mashindano ya CAF ipo hapa
Ni aidha hawaelewi au wanajitoa akili tu.Wanadhani timu inapata nafasi kwa ujingaujinga wa siku mbili tu.Timu zilizoonesha umahiri kwa zaidi ya miaka sita wanataka wawe sawa na walioibukia uvunguni siku mbili zilizopita.
2020 na 2021 alicheza Hadi robo fainali shirikisho. 2020 alicheza raundi ya kwanza champions leagueTuambieni enyimba miaka mitano hiyo ama sita iliyopita performance yake ilikuaje
Hauna hojaEnyimba alipangwa kundi gani huo mwaka 2020.
Taja jina la kundi na timu zilizokuwepo nae kundi moja huo mwaka 2020
Fuatilia alikusanya point ngapi na alifikia viwango vipi?Tuambieni enyimba miaka mitano hiyo ama sita iliyopita performance yake ilikuaje
Kuna jamaa anasema hawajawahi kucheza makundi wana miaka 10Historia ya Enyimba mashindano ya CAF ipo hapa
Mwambie aende kwenye hitaji lake tu moja kwa moja.Anadhani timu gani ingefaa kuwepo ili moyo wake ung'ae?Hauna hoja
2020 na 2021 alicheza Hadi robo fainali shirikisho. 2020 alicheza raundi ya kwanza champions league
Jamaa mbishi sana huyo sijui afatilii mpira2020 na 2021 alicheza Hadi robo fainali shirikisho. 2020 alicheza raundi ya kwanza champions league
Enyimba ana historia kubwa sana. Ameshiriki champions league mara nane na confederation mara tatu. Jumla mara Kumi na moja katika mashindano ya CAF huku akichukua ubingwa, kufika nusu fainali na robo fainali mara kadhaa.Fuatilia alikusanya point ngapi na alifikia viwango vipi?
Usitaje vitu jumlajumla tu.Basi Asante Kotoko angekuwepo.Si kuhusu historia?Enyimba ana historia kubwa sana. Ameshiriki champions league mara nane na confederation mara tatu. Jumla mara Kumi na moja katika mashindano ya CAF huku akichukua ubingwa, kufika nusu fainali na robo fainali mara kadhaa.
Labda alitaka yanga sc wawepo🤣🤣Mwambie aende kwenye hitaji lake tu moja kwa moja.Anadhani timu gani ingefaa kuwepo ili moyo wake ung'ae?