Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Msimbazi hawapo labda kwa yeboyeboHawajataja ya kuwa mashabiki wengi wa simba ni mambumbumbu au kipengele cha umbumbumbu hakikuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba ina majengo mawili kariakoo hivi thamani ya jengo likiwa kariakoo sawa na jengo lililopo jangwani?Hapo hamna haja ya kueleweshwa, wewe ziangalie hizi timu zinamiliki nini. Fananisha club ya Jangwani na jengo la club Msimbazi.
Halafu pia usisahau yanga ina Plot ya maana pale Mafia street (prime area).
Simba wana nini? Achana na mambo ya list.
Atuhitaji link katika hili,manara akisema tu kule insta wanabeba,unadhani rage alikua mjinga kuwaita mbumbumbuMtani tupeni Link tukagoogle hizi habari za kuongezwa chumvi hata hatuzitaki.
Kumbe hizi ni za Manara. Duuuh.Atuhitaji link katika hili,manara akisema tu kule insta wanabeba,unadhani rage alikua mjinga kuwaita mbumbumbu
Unajua wanavuta pesa ngapi kwenye haya mashindano ?Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Wewe ndiye unayelete story za vijiweni. Mimi nimekuonyesha assets za Yanga, wewe sijui unazungumzia hela ipi uliyoiona au document ipi uliyoiona?Mbona unaleta story za vijiweni za flani ana hela lakini hamjawahi ona ata document yoyote ya umiliki?!
Jangwani ni wapi? Umekuja lini mjini bruh..Simba ina majengo mawili kariakoo hivi thamani ya jengo likiwa kariakoo sawa na jengo lililopo jangwani?
Sent using Jamii Forums mobile app
TWENDE KWA DATA KAMILI, HII TAKWIMU IMETOLEWA 15/11/2018View attachment 1030987
Sasa hiyo namba tano wameitoa wapi?TWENDE KWA DATA KAMILI, HII TAKWIMU IMETOLEWA 15/11/2018View attachment 1030987
Timu itakuaje tajiri bhana hata uwanja wa mazoez hakuna, kila siku kulia TFF inavionea vilabu, jengeni viwanjaHapo bado kuna mamelodi,etoil de sahel,orlando pirates,raja casablanca na nyingine nyingi!
afuu huu ujinga umezagaa kwenye magrouo ya whatsapp hadi kero[emoji16][emoji16][emoji16] na watu wanachekelea tu. Yaani wanashindwa hata kujiuliza tu hata uwanja wa mazoez hamna tunakuaje matajiri? Mchezaj wa thamani kubwa havuki M250Sasa hiyo namba tano wameitoa wapi?
Hapa ndio naielewa ile kauli ya Rage. Aiseeee. Yaani mtu anajipinda kuandika kwa habari za Insta lol.
Yan hawa viumbe wa kuitwa mikia inabidi tuwaombee sana ili wapate kuamka kwenye umbumbumbuKumbe hizi ni za Manara. Duuuh.
Wanaochekelea si ndio hao Mambumbumbu Mkuu.afuu huu ujinga umezagaa kwenye magrouo ya whatsapp hadi kero[emoji16][emoji16][emoji16] na watu wanachekelea tu. Yaani wanashindwa hata kujiuliza tu hata uwanja wa mazoez hamna tunakuaje matajiri? Mchezaj wa thamani kubwa havuki M250
Na kweli Swahiba.Yan hawa viumbe wa kuitwa mikia inabidi tuwaombee sana ili wapate kuamka kwenye umbumbumbu
Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.