princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Litaisha kama lilivyo😅🤣GROUP C
AHLY
BELOUIZDAD
ORLANDO PIRATES
STADE D ABIDJAN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litaisha kama lilivyo😅🤣GROUP C
AHLY
BELOUIZDAD
ORLANDO PIRATES
STADE D ABIDJAN
Kuna mwenzio mhasibu aliyasema yanayofanana na haya kwenye usajili wa Aziz Ki. Tunza hii ije ikutie aibu.Utabiri wangu karibia utimie. Yanga msidhani TP Mazembe hii ndiyo ile mliyojipigia miaka 2 iliyopita. TPM hii imewekeza na ilifika nusu fainali msimu uliopita.
Utabiri wangu Yanga safari yenu imeishia hapo. Hamvuki hatua ya makundi. Hakuna timu hapo ambavyo mtaweza kupata hata sare kwao na kuna wawili watakuja kuwakanda hapa hapa nyumbani kwenu.
NovemberMechi za makundi zitaanza lini ?
Mechi za makundi zitaanza lini ?
OGOPAAAHapo Yanga na MAZEMBE ndio wanapita.
Al hilal tunampiga nje ndani akifanya utani.
UbarikiweRobo fainali ya nyoko....
Magori kasema malengo ni kufika Fainali confideration hilo la kujenga timu unasema wewe.Simba bado inajenga timu
Uto ndio mnyonge hapoKundi la kifo hili! Sioni kama kuna mnyonge hapa. Yanga lazima ikaze msuli. Yale magoli ya akina Dube wanayokosa kizembe, hapa siyo sehemu yake.
Ila wameongia..hii pia ni sifa..na haitatoka bila kumgalagaza yeyote katka haoYanga mwendo wameumaliza makundi hawavuki.
Kabisa..my team lazima itumie nafasi zote..watumie nguvu kubwa huku ligi nbc wamuachie AzamUto ndio mnyonge hapo
Acha wogaThis is overconfidence....
Huyo jamaa ni mjinga mjinga fulani hivi. Mpuuze tu.Kuna mwenzio mhasibu aliyasema yanayofanana na haya kwenye usajili wa Aziz Ki. Tunza hii ije ikutie aibu.
Mo hana shida naeHaiwezekani!!!
Hatumtaki Mangungu
Ikicheza SIMBA tunavaa simba na ikicheza utopolo tunavaa SIMBA!Aliskika kiongozi mmoja wa mpira wa miguu .Mungu ibariki Yanga, Yanga ikishinda Tanzania inashinda.
Yanga ndio timu ya Taifa hivi sasa, Taifa linaponywa na Yanga.
Kama unataka twende kwa fact hizo hapo ndo mnapojivua nguo....wenzenu mara ya mwsho wamefika Nusu fainali je nyie ?KwaNI hatujawafunga Home/away Shirikisho na tukaongoza kundi
sasaivi Tp mazembe wamejiimarisha sio kama ile mliyokutana nao shirikisho acheni kuishi kwa kukariri mtapigwa mfe,KwaNI hatujawafunga Home/away Shirikisho na tukaongoza kundi
ilikuwa lini na lilikuwa kombe gani na baada ya hapo nani alifika nusu fainali Klabu bingwa ? Na mpaka sasa nani yupo juu ya mwenzake kwenye Ranking ?
Hivi haya maswali yako yanafuta matokeo ya Yanga na TP Mazembe kwenye mechi nilizokuwekea?ilikuwa lini na lilikuwa kombe gani na baada ya hapo nani alifika nusu fainali Klabu bingwa ? Na mpaka sasa nani yupo juu ya mwenzake kwenye Ranking ?