CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Utabiri wangu karibia utimie. Yanga msidhani TP Mazembe hii ndiyo ile mliyojipigia miaka 2 iliyopita. TPM hii imewekeza na ilifika nusu fainali msimu uliopita.

Utabiri wangu Yanga safari yenu imeishia hapo. Hamvuki hatua ya makundi. Hakuna timu hapo ambavyo mtaweza kupata hata sare kwao na kuna wawili watakuja kuwakanda hapa hapa nyumbani kwenu.
Kuna mwenzio mhasibu aliyasema yanayofanana na haya kwenye usajili wa Aziz Ki. Tunza hii ije ikutie aibu.


CC: OKW BOBAN SUNZU
 
Mechi za makundi zitaanza lini ?
1728305186145.png
 
KwaNI hatujawafunga Home/away Shirikisho na tukaongoza kundi
sasaivi Tp mazembe wamejiimarisha sio kama ile mliyokutana nao shirikisho acheni kuishi kwa kukariri mtapigwa mfe,

Hili sio shirikisho ni Champions League na wenzenu hawajaweka Top of the table kwa bahati mbaya Walikuwa Pot 1 ikimaanisha hata kwa points wamewapita na kimafanikio wamewapita.
 
ilikuwa lini na lilikuwa kombe gani na baada ya hapo nani alifika nusu fainali Klabu bingwa ? Na mpaka sasa nani yupo juu ya mwenzake kwenye Ranking ?
Hivi haya maswali yako yanafuta matokeo ya Yanga na TP Mazembe kwenye mechi nilizokuwekea?
 
Back
Top Bottom