Umetumia msamiati wa kibiblia (kuponywa )Mungu ibariki Yanga, Yanga ikishinda Tanzania inashinda.
Yanga ndio timu ya Taifa hivi sasa, Taifa linaponywa na Yanga.
Mungu ibariki Yanga, Yanga ikishinda Tanzania inashinda.
Yanga ndio timu ya Taifa hivi sasa, Taifa linaponywa na Yanga.
Baada ya haya Makundi kupangwa, ndio tofauti ya Shirikisho na Club Bingwa inajidhihirisha.Huku tunaongea kuhusu timu za club bingwa, Simba tulieni hadi tuanze kuzungumzia mashindano ya akina mama.
Inawezekana kabisa hizi ni figisu.Mungu ibariki Yanga, Yanga ikishinda Tanzania inashinda.
Yanga ndio timu ya Taifa hivi sasa, Taifa linaponywa na Yanga.
Kundi B? Raja na Manyema au?Kundi Dume ni Hilo la B
Raja hawatofautiani sana na Wydad, siyo timu ya kutisha. Mamelod hana upinzani hapo.Hao wa Morocco usiwachukulie poa
Al hilal bado anatumia mkapa au ameukacha?
ateba ana magoli 2 kwenye ligi dube ana magoli mangapi?Ananzia wapi kulibeba, kwa forward za akina ateba wanaopata magoli ya zali la mentali.
Warudi hawa wasudaniWalienda Libya, sijui kama watarudi Mkapa.
Japo sio rahisi.
Ili kundi anaweza kupita Maniema na Fc RabatDah! Maniema Union ndiyo umeumaliza mwendo.
Yanga vs Al Hilal 2-1
Ngoja nije nikakikune....Kiharage kinakuwasha