CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Poa....tupo hapa hapa JF....

Nakuhakikishia Kombe litakalokuwa linafuatilwa kwa wingi zaidi Afrika likakuwa Kombe la Shirikisho....Simply kwasababu ya Simba ..
Watu waache kuangalia mpira wa wanaume huku. Wakaangalie wake zetu wanahangaika kukata nyanya?

Nyie kaeni hapohapo ndo level zenu. Ingekuwa ndo ninyi sahiz mshapiga hesabu hadharani faida mnayoipata kufika makundi. Yanga hatuna habar za kupiga hesabu za ushindani wala nn. Hapa kazi tu
 
Watu waache kuangalia mpira wa wanaume huku. Wakaangalie wake zetu wanahangaika kukata nyanya?

Nyie kaeni hapohapo ndo level zenu. Ingekuwa ndo ninyi sahiz mshapiga hesabu hadharani faida mnayoipata kufika makundi. Yanga hatuna habar za kupiga hesabu za ushindani wala nn. Hapa kazi tu
Nakuhakikishia Yanga hamtoboi makundi.....
 
20241006_172058.jpg

Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) litachezesha droo ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa na Shirikisho ya TotalEnergies CAF 2024/25.

Unaweza kufuatilia droo moja kwa moja Leo Jumatatu, tarehe 7 Oktoba 2024, kutoka huko Cairo, Misri: Kupitia Hapa JF

Droo itaanza na droo ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la TotalEnergies CAF saa Saba Mchana saa za Afrika Mashariki, ikifuatiwa na droo ya Ligi ya Mabingwa ya TotalEnergies CAF saa Nane saa za Africa Mashariki

Vilabu Vilivyofuzu kwa Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa ya TotalEnergies CAF:

1. Al Ahly SC (Misri)
2. Al Hilal SC (Sudani)
3. AS FAR (Morocco)
4. AS Maniema Union (DR Congo),
5. CR Belouizdad (Algeria)
6. Djoliba AC De Bamako (Mali)
7. GD Sagrada Esperanca (Angola)
8. Espérance Sportive de Tunis (Tunisia)
9. Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini)
10. MC Alger (Algeria)
11. Pyramids FC(Misri)
12. Orlando Pirates (Afrika Kusini)
13. Raja Casablanca (Morocco)
14. Stade d’Abidjan (Cote d’Ivoire)
15. TP Mazembe (DR Congo)
16. Young Africans SC (Tanzania).

Mfumo wa Droo ya Hatua ya Makundi

Timu zitagawanywa katika vikundi vinne kulingana na viwango vyao vya CAF.

Kikundi cha 4 kitakuwa na timu zenye kiwango cha chini zaidi, ikijumuisha:
  • MC Alger (Algeria)
  • AS Maniema Union (DR Congo)
  • Djoliba de Bamako (Mali)
  • Stade d’Abidjan (Cote d’Ivoire)

Droo ya kikundi hiki itazipanga timu katika moja ya makundi kama ifuatavyo:

  • Mpira wa kwanza utakaochaguliwa utaenda moja kwa moja kwenye Kundi A katika nafasi ya A4.
  • Mpira wa pili utaenda Kundi B katika nafasi ya B4.
  • Mpira wa tatu utaenda Kundi C katika nafasi ya C4.
  • Mpira wa nne utaenda Kundi D katika nafasi ya D4.

Kikundi cha 3. kinajumuisha:

  • Al Hilal (Sudani)
  • Orlando Pirates (Afrika Kusini)
  • GD Sagrada Esperança (Angola)
  • AS FAR (Morocco)

Upangaji wa timu kutoka Kikundi cha 3 utafanyika kwa namna sawa:

  • Mpira wa kwanza utakaochaguliwa utaenda Kundi A katika nafasi ya A3.
  • Mpira wa pili utaenda Kundi B katika nafasi ya B3.
  • Mpira wa tatu utaenda Kundi C katika nafasi ya C3.
  • Mpira wa nne utaenda Kundi D katika nafasi ya D3.

Kikundi cha 2. kinajumuisha:

  • CRB (Algeria)
  • Raja CA (Morocco)
  • Young Africans (Tanzania)
  • Pyramids FC (Misri)

Utaratibu wa droo kwa Kikundi cha 2 utafuata mfumo ule ule:

  • Mpira wa kwanza utakaochaguliwa utaenda Kundi A katika nafasi ya A2.
  • Mpira wa pili utaenda Kundi B katika nafasi ya B2.
  • Mpira wa tatu utaenda Kundi C katika nafasi ya C2.
  • Mpira wa nne utaenda Kundi D katika nafasi ya D2.

Kikundi cha 1, kinachojumuisha timu zenye viwango vya juu, ni:

  • Al Ahly SC (Misri)
  • Espérance Sportive de Tunis (Tunisia)
  • Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini)
  • TP Mazembe (DR Congo)

Droo ya mwisho kwa Kikundi cha 1 itazipanga timu kama ifuatavyo:

  • Mpira wa kwanza utakaochaguliwa utaenda Kundi A katika nafasi ya A1.
  • Mpira wa pili utaenda Kundi B katika nafasi ya B1.
  • Mpira wa tatu utaenda Kundi C katika nafasi ya C1.
  • Mpira wa nne utaenda Kundi D katika nafasi ya D1.

UTARATIBU WA SHIRIKISHO UTAKUWA HIVYO HIVYO KAMA KB.

Vilabu vilivyofuzu kwa Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho la CAF la TotalEnergies:
20241006_113040.jpg


1. USM Alger (Algeria)
2. CS Constantine (Algeria)
3. Bravos do Maquis (Angola)
4. CD Lunda Sul (Angola)
5. Orapa United (Botswana)
6. ASEC Mimosas (Ivory Coast)
7. Al Masry (Misri)
8. Zamalek (Misri)
9. Stade Malien (Mali)
10. RS Berkane (Morocco)
11. Black Bulls (Msumbiji)
12. Enyimba (Nigeria)
13. Jaraaf (Senegal)
14. Stellenbosch (Afrika Kusini)
15. Simba (Tanzania)
16. CS Sfaxien (Tunisia).

Tukutane Mida ya Alaasiri...
 
Wenyewe wameshaona dalili....

Halafu Sasa Simba inaenda kufanya kombe la Shirikisho kuwa na mvuto Afrika nzima..

Utakuja kuniambia
Lishakuwa na mvuto tayari!

Hata CAF wakiiandika Simba SC wanasema the Giant from Tanzania
 
Mungu ibariki Yanga, Yanga ikishinda Tanzania inashinda.
Yanga ndio timu ya Taifa hivi sasa, Taifa linaponywa na Yanga.
Kweli kipata uleta majivuno...yanga ya papa zahera mpaka ikaitwa utopolo...sasa ni timu ya taifa 🤣🤣🤣🤣
 
Lishakuwa na mvuto tayari!

Hata CAF wakiiandika Simba SC wanasema the Giant from Tanzania
Ila caf nao wana ungese sana....simba anakuwaje giant wakati hajawahi shinda champions league. Sasa wale wababe wa misri tutawaitaje?
Tusichanganye popularity na ugaint. Simba sio gaint, that being said wamepiga hatua kubwa sana last 6 years or so na tunatamani waendelee kupiga hatua kubwa ili waje nao siku waitwe mabingwa wa africa
 
Ila caf nao wana ungese sana....simba anakuwaje giant wakati hajawahi shinda champions league. Sasa wale wababe wa misri tutawaitaje?
Tusichanganye popularity na ugaint. Simba sio gaint, that being said wamepiga hatua kubwa sana last 6 years or so na tunatamani waendelee kupiga hatua kubwa ili waje nao siku waitwe mabingwa wa africa
Trust me.
Its Our time.
 
Ila caf nao wana ungese sana....simba anakuwaje giant wakati hajawahi shinda champions league. Sasa wale wababe wa misri tutawaitaje?
Tusichanganye popularity na ugaint. Simba sio gaint, that being said wamepiga hatua kubwa sana last 6 years or so na tunatamani waendelee kupiga hatua kubwa ili waje nao siku waitwe mabingwa wa africa
Mkuu mbona umeandika kama umeona wivu flani hivi 🤣🤣🤣
We are enough to be called GIANT.
 
Utopolo msijisahau kwamba mlipita makundi kibahatibahati kwa kuambulia pts 8 tu mwaka jana kwenye kundi.... ambacho kiwango cha chini zaidi ktk historia ya CAF.
 
Back
Top Bottom