CAG Acha kitete sema ukweli

CAG Acha kitete sema ukweli

Wakuu habari zenu mimi ni mtoto wenu Emmanuel Kasomi leo hii nataka kuongea na CAG aache kitete, asiogope na Afunge.

Ukifuatilia report za CAG anazo toa kuna sehemu anazilinda.

Kwa wanao fuatia report za CAG amelaani sehemu nyingi kua zilijiendesha kwa Hasara.

Swali kwa CAG
Je, katika report zake mbona hajaigusa ofisi ya makamu wa rais?
- Inamaana kipindi hicho ofisi hiyo haikufanya makosa?
CAG mbona hajaigusa ofisi ya waziri wa fedha na mipango?
- Je, kipindi hicho ofisi hiyo haikufanya makosa?

Nasema kwamba CAG aache kitete asiogope asema ukweli.

Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Jee umeiosoma report yote? Jee umewahi kusoma na reports zingine za nyuma?
 
Katika ripoti yake kuna mahali amegusia ofisi ya Rais Ikulu?
 
Ila CCM mnavyotifuana sisi wengine kwetu ni burdani tosha,sisi zetu kuni tu na popcorn zetu pembeni
 
Tatizo kubwa la jiwe ni kujiingiza moja kwa moja katika masuala ambayo walipaswa wafanye watu wa chini yake ndio maana zikiguswa sehemu zozote mataga wanafikiri mtu wao anashambuliwa.
Ulishamsikia Mama kipindi cha Jiwe akisimama akitoa tamko lolote linalohusu hiyo miradi?
 
Hilo ndio kosa kubwa la Hayati pamoja na Mengi mazuri aliyofanya
Tatizo kubwa la jiwe ni kujiingiza moja kwa moja katika masuala ambayo walipaswa wafanye watu wa chini yake ndio maana zikiguswa sehemu zozote mataga wanafikiri mtu wao anashambuliwa.
 
Mi nauliza tu swali..huyu mama si alikuwa sehemu ya serikali ya awamu ya tano?.si tulimchagua yeye na magu kwa pamoja?..sasa iwaje yeye hahusishwi kwenye huu ufisadi?
Kazi ya makamu Wa Rais ni kufungua warsha,matamasha,kukata utepe nk ,ofisi y VP ahitaji fungu kubwa,sanasana mishahara na allowance.
 
'
20210411_082748.jpg
 
SI-A-GI kaharibu hali ya hewa Lumumba!!
 
Hivi kuna mtu amesoma taarifa ya CAG hata Dibaji tu kati ya mtoa mada na wachangiaji wengine au tunachangia kwa kusimuliwa tu na watu wengine au kudokoa dokoa tu taarifa….CAG katika dibaji yake huwa anaandika …..kwa mwaka huu nimefanikiwa kukagua mashirika au idara au taasisi xxx. Kwa hiyo sio kwa mwaka anakagua mashirika/idara/taasisi zoote. Hivyo kama taasisi Fulani haipo basi itakuwepo ktk taarifa za miaka iliyopita au zijazo kulingana na plan na uhitaji.Nipo tayari kusahihishwa
 
Hivi kuna mtu amesoma taarifa ya CAG hata Dibaji tu kati ya mtoa mada na wachangiaji wengine au tunachangia kwa kusimuliwa tu na watu wengine au kudokoa dokoa tu taarifa….CAG katika dibaji yake huwa anaandika …..kwa mwaka huu nimefanikiwa kukagua mashirika au idara au taasisi xxx. Kwa hiyo sio kwa mwaka anakagua mashirika/idara/taasisi zoote. Hivyo kama taasisi Fulani haipo basi itakuwepo ktk taarifa za miaka iliyopita au zijazo kulingana na plan na uhitaji.Nipo tayari kusahihishwa
Sawa mkuu lakini CAG analinda sehemu zake asije pigwa kichwa na mama
 
Waseme Tu ukweli kwamba mwamba alituweka mfukoni , au wapige kimya waanze upya , waliopo wote hakuna wa kumlaumu mwenzake may be wote watoke tuanze upya.

Style ya kupondeana Kwa wanasiasa ni ya kawaida ili kupata trust ya wananchi , tena aliyeanzisha haya mambo ya kupondeana ni jiwe, aliyekuwa na busara alikuwa kikwete tuuu, Jiwe alipoingia alianza Kwa kuibua uozo wa kipind cha JK na akawa analaumu waz waz ...... As if yeye haikuwepo kwenye Baraza la mawazir for more than 20 yrs
Usimsingizie Kikwete kuwa alikuwa na Busara. Utaenda motoni kumsingizia mtu jambo.
 
CAG anatumika kisiasa
Hata kama ni mnafiki, cha kujiuliza huo uozo palipo huo uozo ametunga au ni kweli kuna uozo ?

Tusitake kuhalilisha ujambazi kwa sababu eti wote ni wezi ? Heri tupate machache kuliko kutokupata yote..., na wale wengine watumie Siasa kufichukua mabaya ya wengine
 
Back
Top Bottom