CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR



Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 
Kichwa Cha habari, Sani Abacha wa Tanzania?


Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 
Haya ni mataarifa ya kutoka kwa mwimba pambio maarufu wa aw5🤔.Nani anayemwelewa na kumwambia mwana mapambio huyu🏃

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 

WEWE NDIO MPUMBAVU!

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 
Uzalendo uchwara wa awamu iliyopita unazidi kuanikwa peupe

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 

Agenda yao ni kulinda Serikali inayoendeshwa na WAHUNI, japo CAG anakili kwamba Zaidi ya hayo, niligundua kuwa mawanda ya kazi kwa kipande cha 3 na 4 ya mradi ulikuwa mdogo na ulikuwa na miundombinu michache kuliko ile ya kipande cha 1, 2, na 5, na miundo mikuu zaidi.
 

Soma sehemu ya mwisho ya CAG report kuhusu TRC na standard, utaona jamaa wa TRC walibetua mara baada ya Magufuli kufa na kutoa tenda kinyume na sheria na kusign december 2021.
 
JPM alikuwa mwizi sana, nadhani Afrika mashariki na kati ndiye Rais aliyeongoza kwa wizi

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 
Inabidi majaliwa na mpango pamoja na Samia wapishe maana ni sehemu ya serikali iliyosababisha hasara

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 
Magufuli alikua mwizi aisee dah!

Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
 
Kuna Wanawake wakifiwa Waume zao tu ndo utaanza kuona Rangi zao halisi .
Ripoti ya CAG huwa inahoji masuala kwa Serikali na Serikali inatakiwa kujibu. Ajabu kwamba CAG anatenganisha awamu na awamu. Basi alete na ripoti inayoonesha ufisadi na ubinafsishaji mbovu wa awamu ya 3 na ya 4 pia ambao umetufikisha hapa tulipo. Unazungumzia awamu!
Kwa hiyo ripoti ni kwa ajili ya awamu ya 5? Na bunge nalo ni awamu ipi? Waziri wa fedha wa hiyo awamu ya 5 si yupo? Basi yeye ndo atujibu
 
Tukisema Rais Samia ni Rais dhaifu kuwahi kutokea muwe mnaelewa angalia lot aliyosaini zilivyokuwa zinanuka ufisadiView attachment 2582647View attachment 2582648
Sasa atupe maelezo ya kina pesa zetu ziko wapi?

1.7 trillion zinapotea anaona hiyo ni lot moja tu bado zingine.

Ndege wamepiga 29 Milion USD .

Hapo ni kwa uchache tu.

Huyu hatufai huyu aachie tu hiyo nafasi.

Hasara atayotutia kwa muda atakao kuwa madarakani italiumiza. Taifa kwa muda Mrefu sana.
 
hatuna Rais makini.

Kama kwa maelezo Yako "mchakato" ulianzia kabla ya kusainiwa December 2021 mchakato ambao haujatuonesha kwa kutupa ushahidi japo kidogo tu kuwa ulianzia lini hasa kwanini Rais akubali kusaini mkataba uliojaa ufisadi wakati ana kila resources za kumsaidia kujua uhalali wake??

Au alisaini makusudi ili aje atuambie haya unayosema wewe??

Kama ndio hivyo basi hayupo makini maana awamu hii na ile zote zinamhusu.

Hatuna Rais makini ni hilo tu, na ni vyema akatueleza hizi 1.7 alizosaini huu mkataba yeye anaushuhudia na CAG anasema ni hasara kazipeleka wapi??
 
Hicho kichwa cha habari mnapotosha.

CAG report inaonesha kabisa kuwa LOT3 [makutupora - Tabora] ilisainiwa December 2021 magufuli hakukuwepo, sasa mnamuhusishaje na wizi wa serikali ya Samia
CAG kasomea kazi yake, hawezi kupotosha, game zima limechezwa na JPM
 
ila hamuonesh mali zake , nyiny mmetumwa , watu km nyiny hukum yen ni kutenganisha vchwa tu maana mnaukumbatia wiz kwa kupewa buku 3 ya bando
Unajua serikali imetaificha trilioni ngapi za JPM? Unadhani china kina Hela za pkea bargaining tu? Unajua uturuki waliopewa tenda ya SGR wamemtunzia mabilioni mangapi huko? Unajua Misri ana trilioni ngapi kwa sababu ya mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere.?

Unajua kwa nini Kila mradi lazima Mfugale awepo? Ndio alikuwa ana negotiate 10 pasenti na kuitunza, mara hee, JPM kafa, Mfugale bado ana matrilinloni katika akaunti, watu wakayafunga, wakamuweka mtu kati, akaamua kufa.

Hisa zake Songoro Marine unazijua? Ilifikia walikiona hata mfereji wa maji wa mtu anakojoa wanataka kujenga pantoni ili kampuni yake ipate Hela.

Nyanza Road, Mayanga? Majumba Kila Mkoa? Tena maghorofa?
 
Hapo aliyekuwa makamu wa rais, waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa ujenzi wachomokaje kwenye ufisadi huu wa kutisha?
 
Wakati huya yakitokea makamu wa rais alikuwa rais wa sasa
Waziri mkuu alikuwa Majaliwa
Waziri wa fedha alikuwa makamu wa rais wa sasa
Waziri wa ujenzi alikuwa Makame
NB: SERKALI YA MAGUFULI = SERIKALI YA CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…