Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh...!.Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Halafu nini kinafuataAsante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Duh 🙄 !Umejisikiaje baada ya kupiga penati huku golini amekaa marehemu na bado umepaisha.
Labda kula Bata tu !!Halafu nini kinafuata
Marehemu aendelee kufa kwa kweliMarehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Muache Upumbavu Kujificha kwa Marehemu hakusaidii kituAsante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!
Tumelisema hili siku nyingi, lakini watu wakifikiri tunamchukia Magufuli.Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Marehemu alikuwa mwizi wa kutisha Ila wajinga wengi hawawezi kiliona hili
Yaani kwamba?Muache Upumbavu Kujificha kwa Marehemu hakusaidii kitu
Amejipumzikia Acheni Chuki zakijinga
Hapa tukubaliane kuwa mchawi ni CCM kwani wizi huu uko kimfumo katika Serikali inayoongozwa na CCM tangu 1961 hadi leo.Kwahiyo wizi ulianzia kwake na ukaishia kwake?
Swali la kijinga sana lini. Kwahiyo tumuache kisa yeye sio wa kwanza au wa mwisho.Kwahiyo yeye ndie wa mwanzo na wa mwisho kuvunja sheria tangu nchi hii ianzishwe?
Mapungufu sio wizi; inaweza kuwa local environnment zilipelekea maamuzi yafanywe that way. Pia huyo mkandarasi ni taasisi ya serikali hivyo hela hatimaye inarudi huko huko serikalini. CAG sio mkamilifu anaweza asielewe undani wa jambo vizuri ndio maana riporti unapoisoma unatakiwa udigest sio kuimeza jinsi ilivyo.Asante sana CAG kwa angalau kazi ya kuwataja mafisadi papa katika nchi hii.
CAG kwa uchunguzi huu Mungu atakulinda maana huna baya bali wabaya watakuandama.
Kwanini kila ufisadi unaibuliwa kupitia kwa kundi lililokuwa chini ya Jiwe?
Ebu tujiulizeni jamani inakuwaje?
Alafu kuna watu wanakwambia eti alikuwa ni mtetezi wa wanyonge!