Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mradi kama stendi ya mabasi pale Mbezi Luis umeghalimu Tsh Billion 50..!!!! Mpaka mradi ujiendeshe kwa faida tunaitaji miaka mingapi? Hapa watu wanaodili na biashara wanaweza kutushauri zaidi.Bilioni 60 hasara ambayo inatakiwa ilipwe ili turudi kwenye zero kwanza.
Bilioni 60 ingefanya mabadiliko kiasi gani kama ingewekwa kwenye kilimo au elimu?
Mmmhhh Bilion 60 unajenga uwanja gani? Au unafananisha kuchukua watu elfu 60? Embu tafiti kwanza?Bilioni 60 ni hela ya kujenga uwanja kama ule wa Mkapa. Kweli mipango si matumizi.
Uendeshaji wa vyombo vya usafiri unahitaji umakini,ubunifu na uzoefu wa kutosha..ndio mana nchi kama USA hawataki hizo stressHaya mashirika ya ndege yanashida gani??
Mkuu acha tu..Viburi vya magufuli vimetutia kitanzini sasa
Mradi kama stendi ya mabasi pale Mbezi Luis umeghalimu Tsh Billion 50..!!!! Mpaka mradi ujiendeshe kwa faida tunaitaji miaka mingapi? Hapa watu wanaodili na biashara wanaweza kutushauri zaidi.
Ni kweli lakini miaka ya nyuma tuliambiwa inaendeshwa kwa faidaKenya Airways imetengeneza hasara ya 36 billions Kenya shilngs
Never..Angekuwepo yangesemwa haya?
Kwaiyo bora zijiendeshe kwa hasara?Stendi,hospital,maji,umeme na barabara hizo ni huduma ambazo hata zisiporudisha faida zina manufaa kwa watumiaji na ni wananchi walio wengi. Dar ina watu 6 milion wanaotumia ile stand. Hizi ndege zina watumiaji wangapi?
Huwezi kuwaonaaMataga kamu hia..... [emoji23][emoji23][emoji23]
Tafautisha kuendeshwa kwa hasara na kurudisha faidaMradi kama stendi ya mabasi pale Mbezi Luis umeghalimu Tsh Billion 50..!!!! Mpaka mradi ujiendeshe kwa faida tunaitaji miaka mingapi? Hapa watu wanaodili na biashara wanaweza kutushauri zaidi.
Kenya Airways imetengezeza hasara kipindi cha Covid 19 wakati nchi zikiwa kwenye lockdown! Mfano Kenya airways ilikuwa inasafirisha mpaka UK Lakini UK walifungia ndege nyingi kuingia kwao na mpaka sasa hivi kama una kwenda UK lazima ujiweke quarantine kwa wiki mbili kwa gharama zako mwenyewe ambazo ni karibia £2000. Hii imewafanya watu wengi wasisafiri!Kenya Airways imetengeneza hasara ya 36 billions Kenya shilngs