21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,280
- 2,814
Kosa waliilofanya clouds hapo ni kutokutoa EFD receipt, wanakwepa kodi. Tra kamata hao
Wangetoa msala ubaki kwa wizara ya maliasili
Wangetoa msala ubaki kwa wizara ya maliasili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ya ZittoDawa ni kugoma kusikiliza au kutazama Product zao mpaka kieleweke.
Maneno ya CAG [emoji432][emoji432][emoji432][emoji432]
Ingekua ni final exams Sasa wananchi tungekua tunasubiri hati safi na chafu tujue kina nani wame-Pass na kina nani wame-Disco
View attachment 1746606View attachment 1746608View attachment 1746609View attachment 1746610
Ufisadi wakati wa mwendambele ulikuwa wa kiwango cha juu mno haijapata kutokea.Ripoti ya CAG imeonesha kuwa Clouds FM na TBC walilipwa shillingi za Kitanzania zaidi ya Milioni 800 kwa ajili ya kutangaza tamasha la Urithi, lakini malipo hayo hayana ushahidi wowote as hawakuonesha risiti ya kielektroniki (source: CAG report, 08 Apr 2021).
Kwa kuwa vyombo hivi vimekuwa mstari wa mbele kutetea wa nyonge na kuonyesha kuwa ni wazalendo, naomba wana JF wote tuwaombe warudishe fedha za wanyonge ili mama aendeleze kazi ya ujenzi wa nchi yetu. walijifanya wapo karibu na serekali ya awamu ya 5 kumbe ni mchwa.
Haiwezekani ku tweets tu ndo igharimu milion 600 zote hizo.
Rudisheni fedha zetu Clouds FM na TBC tafadhali
Ndiyo maana walikuwa wanaisifia sn hii serikali fisadi kumbe wanajua wanapiga pesa ndefu haswa.Ripoti ya CAG imeonesha kuwa Clouds FM na TBC walilipwa shillingi za Kitanzania zaidi ya Milioni 800 kwa ajili ya kutangaza tamasha la Urithi, lakini malipo hayo hayana ushahidi wowote as hawakuonesha risiti ya kielektroniki (source: CAG report, 08 Apr 2021).
Kwa kuwa vyombo hivi vimekuwa mstari wa mbele kutetea wa nyonge na kuonyesha kuwa ni wazalendo, naomba wana JF wote tuwaombe warudishe fedha za wanyonge ili mama aendeleze kazi ya ujenzi wa nchi yetu. walijifanya wapo karibu na serekali ya awamu ya 5 kumbe ni mchwa.
Haiwezekani ku tweets tu ndo igharimu milion 600 zote hizo.
Rudisheni fedha zetu Clouds FM na TBC tafadhali
Uchafu ulikuwa mwingi snmtettezi wa wanyogee aliwaapiga kweeli
Nchii ngumu sana hiiManeno ya CAG 📚📚📚📚
Ingekua ni final exams Sasa wananchi tungekua tunasubiri hati safi na chafu tujue kina nani wame-Pass na kina nani wame-Disco
View attachment 1746606View attachment 1746608View attachment 1746609View attachment 1746610