CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

Wenzetu Wamezoa Cash Awamu Ya Tano
Sisi Wengine Ndiyo Kapuku 💣
 
Clouds wameshatoa ufafanuzi kwamba wanayo risiti na walifuata taratibu zote za kiserikali na viambatanishi wanavyo pia.

Wapuuzi hao kwanini hawakumpa CAG wakati anafanya ukaguzi? baada ya wizi wao kujulikana ndio wameenda kufanya "foji foji nangae" kwenye mamlaka na kutengeneza risiti.
 
Back
Top Bottom