CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

Ndio maana hawa matarumbeta walikua hawaambiwi kitu kuhusu mbogamboga sasa wanaumbuka yule wa kusema ondoa hii soma hii kwenye ripoti za CAG hayupo tena. Sasa ndio tunaanza kuona rangi zake halisi baada ya kufa.
Mkuu mbona bado..kuna ya madini inakuja huko kwa kasi kubwa
 
Ripoti ya CAG imeonesha kuwa Clouds FM na TBC walilipwa shillingi za Kitanzania zaidi ya Milioni 800 kwa ajili ya kutangaza tamasha la Urithi, lakini malipo hayo hayana ushahidi wowote as hawakuonesha risiti ya kielektroniki (source: CAG report, 08 Apr 2021).

Kwa kuwa vyombo hivi vimekuwa mstari wa mbele kutetea wa nyonge na kuonyesha kuwa ni wazalendo, naomba wana JF wote tuwaombe warudishe fedha za wanyonge ili mama aendeleze kazi ya ujenzi wa nchi yetu. walijifanya wapo karibu na serekali ya awamu ya 5 kumbe ni mchwa.

Haiwezekani ku tweets tu ndo igharimu milion 600 zote hizo.

Rudisheni fedha zetu Clouds FM na TBC tafadhali
Kumbe ndiyo maana hao matv station wao kila kukicha ni kusifia kila ujinga na mapungufu yaliyokuwa yanafanywa chini ya jiwe.
 
unadhani walitembea nchi nzima kwa kampeni bure,walijua wanachumma nini
 
enndeleeni kuuwwa wanyoge huku tunawapiga, ndiyo maana tumekataa kuitwa wanyonnge
 
Serikali inataka iwalipe hizo je kipijdi cha kampeni wale wasaniii na hizo media walizokua wanatangaza live kampeni za ccm walitoa hela kwenye hizo media kama hawakutoa bhasi tuanze hapo
 
Back
Top Bottom