CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

Zigo lote abebeshwe Mendazake alafu tusonge mbele.
 
Ufisadi wakati wa mwendambele ulikuwa wa kiwango cha juu mno haijapata kutokea.
 
Clouds wameshatoa ufafanuzi kwamba wanayo risiti na walifuata taratibu zote za kiserikali na viambatanishi wanavyo pia.
 
Ndiyo maana walikuwa wanaisifia sn hii serikali fisadi kumbe wanajua wanapiga pesa ndefu haswa.
 
Sina mashaka Tale ataenda kuwabana kwenye mijadala mjengoni na huku ndio kwake haswaa ana knowledge napo πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…
 
Siyo kazi ya Kigwangwala hii, kutwa alikuwa anazunguka na wasanii na sometimes akijidai ni kamanda wa guerilla. Kama ikibainika ni yeye ashtakiwe kwa kutumia madaraka vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…