CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

Ndio maana hawa matarumbeta walikua hawaambiwi kitu kuhusu mbogamboga sasa wanaumbuka yule wa kusema ondoa hii soma hii kwenye ripoti za CAG hayupo tena. Sasa ndio tunaanza kuona rangi zake halisi baada ya kufa.
Mkuu mbona bado..kuna ya madini inakuja huko kwa kasi kubwa
 
Kumbe ndiyo maana hao matv station wao kila kukicha ni kusifia kila ujinga na mapungufu yaliyokuwa yanafanywa chini ya jiwe.
 
unadhani walitembea nchi nzima kwa kampeni bure,walijua wanachumma nini
 
Clouds wameshatoa ufafanuzi kwamba wanayo risiti na walifuata taratibu zote za kiserikali na viambatanishi wanavyo pia.
Tuwekee hapa tuvione,vinginevyo tunaanzisha kampeini ya kuwapiga spana
 
enndeleeni kuuwwa wanyoge huku tunawapiga, ndiyo maana tumekataa kuitwa wanyonnge
 
Karbia bilioni moja iyo! Kwa matangazo tu!!
 
Serikali inataka iwalipe hizo je kipijdi cha kampeni wale wasaniii na hizo media walizokua wanatangaza live kampeni za ccm walitoa hela kwenye hizo media kama hawakutoa bhasi tuanze hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…