CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

Hawa jamaa wamejipanga kwelikweli!, kwa kushirikiana na wahuni ili adhima yao itimie!, lakini watanzania sio wa enzi hizo!
Kwanini mnatetea mafisadi? Yaani hamtaki kuamini kilikua na majizi enzi za JPM? Mbona Sabaya kakutwa na hatia kupora mamilion au hakupo enzi za JPM? Vipi Nchambi si alihukumiwa kulipa Mabilion baada ya kukiri kuwa ni jangili au hakuwa enzi za JPM?

He was never a saint, but rather an overrated scumbag.
 
Aliekuwa DPP kwa Sasa ni Jaji, hii nchi ina vituko Sana.
 
Wewe ni
Mwongo!
Kwani wote si tuliona makampuni yalivyotengeneza mikataba fake na Tanesco? Mafisadi wapo kazini baada ya JPM kuondoka!
 
Mwendazake hatatoka VINYWANI mwa Watanzania kwa UFISADI WAKE
 
Kwa



Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.

Wala usiombe kufika huko maana legacy itapotea ndani ya muda mfupi.
 
Hiyo taarifa imo kwenye ripoti ya CAG kweli? Napitia ripoti sijaona hiyo taarifa. Nakumbuka kumsikia CAG akisema anaanzisha ukaguzi siku anakabidhi ripoti kwa Mh Rais. Kwa hiyo amemaliza ukaguzi na kutoa taarifa akionyesha kwamba pesa haIkuingia serikalini? Au mnapotosha tu taarifa?
 
Either mnasoma vibaya hiyo ripoti na kupotosha, au CAG wetu ni kiazi.
Nadhani anasoma vibaya! Siamini kama CAG ameishamaliza ukaguzi na kutoa taarifa. Uzoefu wangu unaonyesha CAG hutoa taarifa yake mara moja na huwa haongei na waandishi wa habari tena hadi wakati wa ripoti nyingine. Huenda mleta uzi kanukuu vibaya.
 
Kwani singa singa wa IPTL si aliachiwa na awamu ya 6....na alilipa 26m km kishika uchumba, km hakumaliza au hazikufika si tuwaulize awamu ya 6?mbona kila kitu mnataka kuwabebesha ht wasiohusika?
 
Nadhani anasoma vibaya! Siamini kama CAG ameishamaliza ukaguzi na kutoa taarifa. Uzoefu wangu unaonyesha CAG hutoa taarifa yake mara moja na huwa haongei na waandishi wa habari tena hadi wakati wa ripoti nyingine. Huenda mleta uzi kanukuu vibaya.
Huyo CAG wenu anaimba tu kwaya kisha atanyamaza wezi wanaenda kutafuna
 
Lile jambazi lililopewa Ujaji lile
 
Kesi ya kubambikwa inatayarishwa
  • Polisi wanaamriwa kukuweka ndani
  • Wanasheria wa Ofisi ya DPP ambao hawana hata habari kesi inahusu nini, watajifaragua mwaka mzima au hata mpaka mitano
  • Ofisi ya DPP mwishowe inakukaribisha mtuhumiwa na mshitaki mkae chini, ili kiofisi ununue uhuru wako!!
 
Inaonekana welewa wako ni mdogo Sana kwenye Mambo ya finance na accounting.Yaan umebase Sana kwenye siasa za uongo uongo tu.Hiyo pesa unayosema ni pesa ndefu Sana.Hata Kama mtu anatumia kwa siku million 10 haiwezi kuisha.GAG Sasa aonyshe cash outflow ,ili tujue ipo bank gani Kama ni kweli.Kama unabaki kupiga kelele kwa siasa za kihuni tu ,watanzania kwa Sasa wanaufahamu na wanaelewa.Kigoma Malima alihamisha pesa nyingi Sana kwenda Nje.Lakin zilijulikana kuwa zipo bank Fulani.Sasa nyie machawa wa Kikwete msio just kuwa mnajenga maadui kwa baadae.Mtajuta.
 
Hawa akina Dkt. Mihogo ndio maana wanakimbilia kwenye ONLINE TV wanabwabwaja tu hata hawaulizwi maswali, nimeshangazwa na alichokizungumza kuhusu CAG na mambo mengine. Nadhani alikuwa haulizwi maswali!
 
hivi màgufool alikuwa akijiaminia kitu gani kufanya ujambazi wa wazi kiasi hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…