CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

Enzi ya Baba wa Taifa:
"kumi na viwili wakati unaingia, na kumi na viwili wakati unatoka, ee! ukamwonyeshe mkeo nyumbani"
Daa! rushwa ilikuwa inaogopwa kama ukoma!! Hasa kwa wenye vitambi!
 
Magu alikuwa bize kuua upinzani huku wenzake wakiwa bize kuiba, ripot ya CAG KILA mwaka ni wizi tupu.
 
Mambo hayo yalifanyika akiwa anatawala mkuu wa malaika? CAG atakuwa mchochezi
Lakini Waitara (wakati huo naibu waziri), aliwahi kuongelea jambo kama hili na akaunda tume. Majibu ya tume yalikuwa nini?
Tusimuonee CAG bana!
 
tumia akili ya kuzaliwa propoganda ya kumchafua jpm bado ipo. western na america wanafanya kwa putin kila aina ya propoganda
Kila kitu western!!!!
You mean hao 'western' wamemnunua CAG kumchafua pombe?!
 
Magufuri hamwezi kumchafua mkamweza, sanasana ni kujifariji tu, Magufuri amejenga stend za kisasa Tanzania,kajenga barabara mpaka za njia 8 ambazo ilikuwa ni ndoto kutokea Tanzania,kanunua ndege ambazo tawala 3 zilizopita zilikuwa zinatuambia serikali aina uwezo wa kununua ndege kwa cash, kajenga Dodoma kitu ambacho kilishindikana tawala 4 zilizopita, kajenga meli ambazo zilikuwa zimeisha shindikana, Kajengea walalaoi magorofa Sasahivi walalaoi pale magomeni hawaamini kama niwao kitu ambacho kilimshinda hata Nyerere,alafu huyo Magufuri kaiba mabilioni, Tanganyika tungelipata wezi aina ya Magufuri tungelifurahi Sana.
Yy kajenga stendi,je wenzie waliojenga barabara nchi nzima na kuiunganidha tuwape tuzo gani??hakuna kipys alichofanya wenzie walishidwa tatizo tu ni muda,mkapa asingewaza kujenga flyover wakati nchi haina barabara!!
 
Sasa ambaye

Sasa ambaye sio fisadi siajenge tu, Sisi hatuitaji maneno tu tunaitaji kuona, maana Magufuri alikuwa fisadi tumeona yaliotanyika,huyo mama yenu ambaye sio fisadi nae afanye basi,kila rais atapimwa kwa kazi zake alizofanya, maana Sasahivi watanganyika tumeisha ona hatudanganyiki tena.
Rais hapimwi kwa mabarabara,kikwete ndo rais aliyejenga km nyingi za barabara kuliko yoyote lkn hasemi,mikoa yenu huko mlikuwa mnaenda siku mbili hadi 5 kabla ya ujio wa kikwete!
 
Wote wezi tu hakuna afadhali kila awamu ni ya wezi tu toka uhuru,vingine vinaogopwa kusemwa au vimefichwa makusudi visijulikane ili kulinda legacy fulani bin fulani...
 
Hayo yalimpa kibali cha kuiba?!
Weka ushaidi wa kuiba sio maneno tu,mwambie Samia anavyo vyombo vya kuchunguza waje na data na account pesa zilipofichwa,sio riport hizi za mchongo, enzi za akina Kikwete mambo yote yalienda kwa data mpaka waliobeba ela kwenye viroba, mpaka account zote ziliwekwa, sasahivi ni porojo tu
 
Back
Top Bottom