kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Enzi ya Baba wa Taifa:
"kumi na viwili wakati unaingia, na kumi na viwili wakati unatoka, ee! ukamwonyeshe mkeo nyumbani"
Daa! rushwa ilikuwa inaogopwa kama ukoma!! Hasa kwa wenye vitambi!
"kumi na viwili wakati unaingia, na kumi na viwili wakati unatoka, ee! ukamwonyeshe mkeo nyumbani"
Daa! rushwa ilikuwa inaogopwa kama ukoma!! Hasa kwa wenye vitambi!