Kwa hiyo tukububaliane kazi ya kudhibiti hajafanya.Mbona kwenye ripoti yake hakueleza hilo? Kuwa mimi.kama mdhibiti sikufanya udhibiti ndio masna mnaona haya madudu kwenye ripoti
CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
MATAGA mmepatwa na kiwewe.expand...
Unajya maana ya ukaguzi na udhibiti wewe au unapayuka tu kama kasuku mwenye njaa?CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Assad alikuwa nsye anakagua tu na kutoa ripoti ya ukaguzi tu.Assad
Alifanya kama unavyoshauri lakini
Wapumbavu walimpiga vita
Nyie majitu ya ajabu ajabu sana yaani mnamchukia CAG kisa kayaanika mapungufu ya jiwe kuwa miradi mingi ilipigwa?CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Majitu kama haya ndiyo bado yanaamini kuwa tanzania bado rais wake ni JK NyerereOndoka kwenye kivuli Cha mwendazake .
Muache aendezake
A.k.a. MATAGA,Nakuona UV CCM ,ha ha ha [emoji3][emoji3]
Traumatized! Iko kwa shida with your brain.CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Is this a joke or something?Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Washazoeshwa kusifiwa tu hata wanafanya madudu.Mlimtimua Pro Assadi mkapata nini. Angalieni mwisho wa siku mtajitimua wenyewe
Assad slikuwa nsye anakagua tu na kutoa ripoti ya ukaguzi tu.
Tatizo lake lilikuwa kuanza kuropoka kuita vyombo vya habari kuongelea ripoti ya CAG kabla hajaiwakilisha bungeni
Baada ya mfadhili wao sasa hivi gia mamba 2 haiingii na moja haiingiiKweli nimeamini MATAGA dishi limeyumba aisee!
Eti shujaa wa Afrika!Ripoti ya CAG imemuumbua "SHUJAA WA AFRICA".
Soma vizuri,majukumu yake mkuu!CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Majukumu ya CAG kwani ni yapi? Angeweza kweli kukataza ndege zisinunuliwe?CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Hana jipya huyu mlafiHalafu arudishwe professor Musa Assad na mutueleze Til 1.5 zilitumika kufanya nini. Kila aina ya takataka unayo iwaza kichwani mwako nilazima uilete hapa?