CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

Wajinga watabisha,ila watu wenye maono wameshaliona mapema sana
 
sasa kama repoti ya CAG imebainisha hayo, inatakiwa sasa MAMLAKA husika kama TANROAD na TARURA kufanyia kazi changamoto hizo ili kuepusha tatizo la foleni.

Naaamini kabisa Mkurugenzi wa tanroad na wa tarura watalifanyia kazi kitaalamu na kuepusha foleni ktk eneo la mbezi, halo sasa kinachotakiwa ni utaalamu utumike.

Eng. Mfugale na timu yako shughulikieni changamoto hiyo haraka badala ya kusubiri iwe kero kubwa.
 
Hii nchi Kuna watu wanaichezea Hivi mie nilidhani office ya CAG Kuna watu wanajua hesabu tuu kumbe hata Mambo ya mipango miji aisee hii nchi hii ngumu sana
 
Haaahaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
huyu CAG atakuwa chadema achunguzwe hawa wametuchelewesha sana ndugu zangu
 
Kwahiyo CAG ni mkaguzi wa mipango miji? Duuh
 
Kwani stendi imejengwa ndani ya hifadhi ya barabara? Tunafahumu mbezi - kimara kulikuwa na bomoabomoa, sasa inakuwaje wenyewe wanajenga ndani ya hifadhi.
Stendi za daladala huwa zinakengwa nje ya hifadhi ya barabara? Hivi huwa mnapata faida gani hasa pale mnapotoa ubongo kichwani na kujaza funza?
 

tunasubiri mrekebishe uwanjq ndio huu sasa.
 
Duuuuuu sa itakuwaje ndugu wajumbe gharama zote zilizotumika. Itakuwa ushauri ulitolewa ukakataliwa
Hii nchi ilikuwa ikiendeshwa na mtu mmoja tu, kilichofanyika hapa ni kuwa Tamisemi, haikuwashirikisha Tanroad kwenye ujenzi huo, wakati wakijua ndio wasimamizi wa hiyo barabara inayojengwa!!
 
Hivi Kibamba kuna stendi nyingine tena? Au ni hii ya Mbezi? Au Kibamba umekusudia Jimbo la uchaguzi la Kibamba ambapo na Mbezi Luis imo ndani?
 
Hesabu pamoja na uhalali wake wa kutumika hizo fedha
Mradi wa umeme kujengwa kwa upembuzi uliofanywa miaka 50 nyuma ni bomu jingine pia.

kifupi CAG anamaanisha hakuna kilichofanywa kwa utaratibu kufuatwa.

na hapo ndipo watakapojicahanganya sasa.
maana kwa kufuata taratibu wakishindwa kufanya jambo lolote wataonekana ni wapuuzi kuliko.
 
Mimi nadhani siyo kila kitu Lazima Serikali iwe inaongea. Kama Hili halikuwa na sababu ya kulitamka, maana wanaweza kulirekebisha vizuri tu, sitaki kuamini kuwa hiki kituo no tatizo kubwa Sana kiasi hicho. Ila shida kila mtu msemaji

tukisema kuna harakati za chini chini kumzima mwendazake wajuha wanapiga yowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…