CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

Hapa dawa kubwa ni kupata katiba mpya ndiyo itakuwa suluhisho
 
Corona bado ipo sana
 
Kichere anamponda kiongozi wa malaika kha😂😂😂😂😂
 

Badala ya kuona jinsi gani uwanja huo utatumika kuinua utalii wa buruji na nduguze wao wamekalia kuangalia mapungufu. Kama ni kujengwa umesha jengwa hawana chakufanya ili kuzuia usijengwe.
 
Lakini hapakuwa na tozo nyingi, vile vile bei ya vitu havikupanda

Na ashukuriwe Mungu wa Mbinguni JPM katutojlka wakati vita ya corona ilisha iongoza kwa 95%. Angetutoka ikiwa ndio 1-5% tuseme. Tungefungiwa ndani kwa lazima/ lockdown ya lazima sisi kama wangetokea wa wakula watoto wao wangekula.
 
Na ashukuriwe Mungu wa Mbinguni JPM katutoja wskati vita ya corona ilisha iongoza kwa 95%. Angetutoka ikiwa ndio 1-5% tuseme. Tungefungiwa ndani kwa lazima/ lockdown ya kazima sisi kama wangetokea wa wakula watoto wai wangekula.
Madhara ya corona ni makubwa kuliko mgogoro kati ya Russia na Ukraine lakini vitu havikupanda bei kipindi cha corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…