Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa dawa kubwa ni kupata katiba mpya ndiyo itakuwa suluhishoIngekuwa wale tunaowaita wanafiki na wale wasiojitambua na wale wachumia tumbo.wanaopenda kusapoti ili mradi wabaki madaraka.kwa kuwa ni wao waliosapot ujinga kama huu na miradi ya hovyo wawajibishwe kwa namna yoyote ile ili kusiwepo na ujinga kama huu tena
Uwezo huo unao? Hata Mama anaendelea kuumalizia sasa uko asilimia 95. Utakufa na stress!Mwendazake alistahili kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Kama alivyohukumiwa bibi kizee wako!Wacha ahukumiwe na hakimu mkuu
Corona bado ipo sanaMkuu uwanja uko karibu kukamilika kwa 100% ukiwa na majengo mazuri ya standard ya juu kabisa duniani. Sasa nakushauri unywe sumu ufe lasivyo utakufa na stress bure. Na sisi wanakanda ya ziwa tunautumia sana tukiwa tunaenda Chato. Kwahiyo wewe bibi kizee tuliza mshono!
Na itaendelea kuwepo sanaCorona bado ipo sana
Kichere anamponda kiongozi wa malaika kha😂😂😂😂😂Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.
Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.
--
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema gharama za ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita zilizidi bajeti iliyotengwa kwa sababu ulifanyika bila upembuzi yakinifu.
CAG alisema kutofanyika kwa upembuzi yakinifu kunaongeza hatari kwa Serikali kuwekeza katika mradi usio na tija na uwezekano wa kuwapo gharama zisizodhibitiwa na ongezeko la muda katika utekelezaji wake.
“Mpatio yangu yalibaini Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) hawakufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuanz aujenzi,” amesema Kichere.
CAG Kichere amesema Sh3.62 bilioni za mradi huo zilitolewa kwenye miradi mingine kwa matarajio kwamba zingerejeshwa baada ya Hazina kutoa fedha zake, jambo ambalo halikutekelezwa kwa wakati hivyo kusimamisha miradi mingine iiliyopangwa.
Hahaha!hatari sanaChato ni legacy ya Mwendawazimu, faida hailetwi na KICHAA.
Aisee! Umenena!!!Chato ni legacy ya Mwendawazimu, faida hailetwi na KICHAA.
Ndio umenza hivyo.. kwanza haujakamilika.Sasa 250 kwa ukubwa wa uwanja huo ni hasara sana .
Huu ni ufujaji wa fedha za wananchi .
Legasiii kwa sauti ya comedian wa watu baki. Bado huko nako mbuzi na punda watapata malisho.Badala ya kulilia legasi ni vema ukatueleza ni lini tutapata faida na itatokana na nini
Hivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hapakuwa na tozo nyingi, vile vile bei ya vitu havikupandaTulikuwa na awamu ya kifisadi kuliko zote zilizopita
Lakini hapakuwa na tozo nyingi, vile vile bei ya vitu havikupanda
Madhara ya corona ni makubwa kuliko mgogoro kati ya Russia na Ukraine lakini vitu havikupanda bei kipindi cha coronaNa ashukuriwe Mungu wa Mbinguni JPM katutoja wskati vita ya corona ilisha iongoza kwa 95%. Angetutoka ikiwa ndio 1-5% tuseme. Tungefungiwa ndani kwa lazima/ lockdown ya kazima sisi kama wangetokea wa wakula watoto wai wangekula.