Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Haya sasaTulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.
Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.
.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sasaTulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.
Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.
.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Ni miradi mingapi inazidi bajeti?
Sio tuu kuzidi bali haukufanyiwa upembuzi yakinifu.Ni miradi mingapi inazidi bajeti?
Chama cha MazezetaPembe la ng'ombe siku zote halifichiki
Kwahiyo raisi anafanya upembuzi yakinifu siyo?Sio tuu kuzidi bali haukufanyiwa upembuzi yakinifu.
Tembo mweupe
Ukijua maana ya neno bajet utapata jibuKwa sasa tunazungumzia uwanja wa chato.
Watanzania tuna unafiki mwingi. Enzi huo uwanja unajengwa, CAG alikuwepo! Lakini hakumshauri Rais wa wakati huo kusitisha ujenzi wake.Sijui hapo unataka kusema Nini? Kwamba watu waendelee na hofu aliyoipandikiza Magufuli? Au sijui unataka kusema nini!
Mi naonaga mda mwingine watanzania hatunaga hata maana Jiwe kapanua barbara ya morrocco mwenge kwa fedha za sherehe za uhuru na baadae akaamuru pia fedha za uhuru zikapanue barabra ya mwanza airport lakini kuna watu hapa wanajidai kufata utaratibu wa zabunimili wapige dili zao lakini matokeo sifuri. Kkikubwa tunataka matokeo zabuni ni maneno tu.Watanzania tuna unafiki mwingi. Enzi huo uwanja unajengwa, CAG alikuwepo! Lakini hawakumshauri Rais wa wakati huo kusitisha. Na sababu kubwa ilikuwa ni kulinda ugali wao.
Hivyo Taifa linatakiwa liwe na watu wwnye ujasiri wa kumwambia Mfalme ukweli. Kama yuko uchi, aambiwe ukwli, ili ajisitiri! Kuna makosa mengi Rais aliyepita, aliyafanya! Lakini wasaidizi wake walitumia muda wao wote kumsifia na kumtukuza! Badala ya kumuambia ukweli.
Wafuasi wa jiwe watampiga mawe huyu CAG wakati yeye ndie alimteua Tena kwa kumuondoa Assad kibabe 😂😂Ilikuwa ni Serikali ya kifisadi pia🐒🐒🐒
View attachment 2187006
Unayasema hayo huku rohoni mwako unajua kabisa kuwa jiwe alitumia mabavu kwenye miradi mingi bila kufanya tathmini ya kitaalamKipindi kile alisemaje ?
Kama kipindi kile alikaa kimya kwa kuogopa Mamlaka tunajuaje kama kipindi hiki asemi kila anachotakiwa kusema ili mradi tu kuridhisha mamlaka ?
Hii nchi unafiki mwingi sana kwamba ingebidi aombe wananchi msamaha na ajiondoe kwenye hio kazi sababu inaonyesha ni bendera fuata upepo