FUKO LA DHIKI
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 463
- 146
Ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kukiuka kanuni za fedha kwa makusudi kabisa kwa kuwa kiwanja cha ndege kinajengwa kwa aliyekuwa mkubwa wa nchi.Chondechonde viiongozi wetu tuondokane na tabia hii ya kinafiki ya kujipendekeza kwa watawala mpaka kupelekea kutozingatia sheria na kanuni mbalimbali zinazohusu fedha nk