n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Mwambieni hangaya naye ajenge makunduchi iwe legacy kwake. Nonsense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka facts sio kusema ulikuwa wapi. Ulitaka awekwe kwenye kiroba?. Ripoti za CAG ni kioo,ili wakati mwingine msirudieUnafiki hautoisha nchi hii, CAG acha hizo kabla ya awamu hii hukuwepo?
professa Asad hakubumbabumba mambo ili kumtukuza mkuu hayati.
Ungesema kweli uwe shujaa wa kulipigania taifa.
wamepoteana. wazee wa kusifia-sifiaWalinda "legasi"View attachment 2187028
Bomoeni mpeleke nyumbani kwenu kupiga kelele hakuwasaudii .Legacy gani ya kulazimisha?
wamepoteana. wazee wa kusifia-sifiaWalinda "legasi"View attachment 2187028
Kwa hiyo unataka kusema CAG ni Chadema???Mnachoweza ni join the chain tu, semeni Kuna Nini kingine zaidi ya kuhangaika na Magufuli?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu alikuwa fisadiLakini Magufuli so ndio alimteua? Kwa Nini kila CAG anakuwa ni adui wa Magufuli?
Pendezesha kwenu kwa kujenga vitu vitakavyo tumika na watu wote, pia vitakavyo kuwa na faida. Sasa huo uwanja wa ndege una faida gani ikiwa kwa mwezi unaingiza watu wachache hivyo? Angejenga barabara labda. Sasa ona hasara hiyo kubwaUkifa hujapendezesha kwenu lazima watu wakupige vijembe.
Na hata ukifa umepapendezesha home kwenu, lazima tena wakupige vijembe.
Huyo ni kilaza kichwani kwake amejaza uchato tupu.Nikujibu TU kirahisi, huwa kunakuwa na hitajio la uwanja ndio watu wanaanza kutafuta Hela za kujenga!! Na Sio unajenga uwanja ndio unatafuta hitajio la watumiaji!!
Je hiyo miji tajwa ni sehemu moja?Huo uwanja wa Chato ulikuwa na umuhimu gani kujengwa chato wakati kuna uwanja wa Mwanza na pale Bukoba?
Hiyo ni misukule ya magufuli.Nyie ndio mnaleta ushabiki kwa sababu mnapingana na kila CAG kisa amemsema mtu wenu vibaya...ofisi ya CAG ilikuwa ikiibua madude tawala zote wala sio kwa Magufuli tu, ila kwa Magufuli anashambuliwa, kwa nini?
Hata hivyo asingethubutu kutoa hiyo ripoti yake. Angetoa ila ya kuhusu uwanja wa ndege Chato angeficha ripoti yake.enzi za mfalme desh desh, huyu CAG muda huu angekuwa shimo la tewa
Huyu CAG aliteuliwa 2019, kwa muda alipokuwa anatoa ripoti yake ya kwanza tangia ateuliwe, ambyo ilikuwa ni mwezi March 2021 Magufuli alikuwa ameshafariki,Unaweza ukaleta hata Post moja humu niliyoshawahi kumsifia JPM ?
Mimi sio cheerleader kama mtu anafanya mazuri ni kazi yake ndio aliyochaguliwa kufanya kuanza kwangu kumpigia makofi kwangu naona ni kupoteza rasilimali muda..., kwa yoyote anayekosea mimi huwa nipo critical sababu ninamlipa kwa kutumia kodi yangu hence nahitaji value for my money...
Sasa huyu (siongelei Assad huyu jamaa) kama aliweza kuficha huu uchafu kipindi cha JPM ni mangapi anaficha sasa ili aje kuyaongea awamu ijayo ?
Kipindi cha mwenda kuzimu wabunge walikuwa wana usifia huu uwanja mno. Leo ndio hao hao wana ujadili. Yaani Ccm ni donda ndugu. Kwa lugha nyepesi Ccm ni cancerKwa sasa tunazungumzia uwanja wa chato.
Ilikuwa ni Serikali ya kifisadi pia🐒🐒🐒
View attachment 2187006