CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

Kipindi cha mwenda kuzimu wabunge walikuwa wana usifia huu uwanja mno. Leo ndio hao hao wana ujadili. Yaani Ccm ni donda ndugu. Kwa lugha nyepesi Ccm ni cancer
Tena kansa ya ubongo
 
Hivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalinganisha Mtwara au Musoma na kijiji cha Chato?
 
Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.

Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.

.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Sasa kama miradi haindekezwi unazani faida utaipata je?

Mbuga za hifadhi zikikamilika, hospital ya Kanda ikikamilika..kila kitu kitakaa sawa.

Miradi mongine huwezi ona faida moja kwa Moja, utaiona tu kama utazingatia mambo mengi.

Hata ndenge zetu hazina faida lakini zinachochea uchumi sehemu zingine .

Hata KIA na Songwe haziingizi faida.
 
Sasa kama miradi haindekezwi unazani faida utaipata je?

Mbuga za hifadhi zikikamilika, hospital ya Kanda ikikamilika..kila kitu kitakaa sawa.

Miradi mongine huwezi ona faida moja kwa Moja, utaiona tu kama utazingatia mambo mengi.

Hata ndenge zetu hazina faida lakini zinachochea uchumi sehemu zingine .

Hata KIA na Songwe haziingizi faida.
Chato haina sifa ya kuwa na uwanja wa ndege
 
Hata mobutu seseseko kuku wa zebanga alijenga uwanja MKUBWA wa ndege kijijini kwao lakini baada ya kifo chake kiwanja hicho kimekuwa uwanja wa kuchungia mbuzi.....
Afrika siasa Ni ngumu kuliko fizikia..
Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Za Banga - Gbadolite today
1649935185552.png
1649935405029.png
1649934495888.png
1649935560922.png
 
Baada ya musimu huu utageuka kuwa kichaa au mwenda wazimu.
Wewe ni kati ya wale wachawi wa simiyu walio watishia wagombea kupitia ccm ili wasigombee na jiwe?
 
Miaka 60 ya uhuru ukitoa 5 ya Magufuli unapata miaka 55, Hiyo miaka 55 tulikwa tumefika wapi?
UHURU ni kitu muhimu sana, hiyo miaka 55 unayosema ilikuwa Bora sana kwa sababu kila mtu alikuwa huru, miaka 5 ilikuwa Kama tuko jehanamu, Asante Mwenyezi Mungu kwa maamuzi yako.
 
Mi naonaga mda mwingine watanzania hatunaga hata maana Jiwe kapanua barbara ya morrocco mwenge kwa fedha za sherehe za uhuru na baadae akaamuru pia fedha za uhuru zikapanue barabra ya mwanza airport lakini kuna watu hapa wanajidai kufata utaratibu wa zabunimili wapige dili zao lakini matokeo sifuri. Kkikubwa tunataka matokeo zabuni ni maneno tu.
ROBERT MUGABE: Mwanasiasa akijenga barabara, hospitali, shule, madaraja n.k. halafu ukamsifia, ni ujinga, ni sawa na kuisifia mashine ya ATM ulipotoa hela ni ujinga kwa sababu hela hizo ni zako siyo za ATM!
 
Tutaendelea na mambo yale yale ya ngonjera za zabuni zisizo na matokeo japo kweli zabuni n takwa la kisheria lakini kikubwa ni kudeliver .Waafrica wengi maneno mengi vitendo sifuri.
Juzi kwenye Bunge Kibogoyo wanamjia juu Ummy Mwaimu kuwa MSD hawafuati Sheria za manunuzi, mashine ya shs million 4 imenunuliwa shs million 250! Hii ndio CCM! Uwanjacwa ndege unajengwa kwa amri ya mtu mmoja! Ukiwaambia katiba mpya huwezi kuelewana nao, wamezoea upigaji.
 
ROBERT MUGABE: Mwanasiasa akijenga barabara, hospitali, shule, madaraja n.k. halafu ukamsifia, ni ujinga, ni sawa na kuisifia mashine ya ATM ulipotoa hela ni ujinga kwa sababu hela hizo ni zako siyo za ATM!
Aisee hongera sana kwa mifano yenye uhalisia.
 
Juzi kwenye Bunge Kibogoyo wanamjia juu Ummy Mwaimu kuwa MSD hawafuati Sheria za manunuzi, mashine ya shs million 4 imenunuliwa shs million 250! Hii ndio CCM! Uwanjacwa ndege unajengwa kwa amri ya mtu mmoja! Ukiwaambia katiba mpya huwezi kuelewana nao, wamezoea upigaji.
Bila ccm tanzania tungekuwa matajiri sana kulingana na rasilimali tulizo nazo.
 
Hivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mpinzile umepinda ubongo
 
Back
Top Bottom